Danguro ni nini? Mfano wa madanguro ni yapi?

Danguro ni nini? Mfano wa madanguro ni yapi?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hili neno danguro lina maana gani?

Wiki hizi mbili katika hili sakata la wanaoitwa makahaba/madada poa nimelisikia linatajwa sana ila sijajua lina maana gani.

Wale wataalamu wa lugha, magwiji na wengine wenye ufahamu tufahamisheni maana ya danguro.
 
Mi nilikua najua madanguro ni magofu ya majumba yaliyoachwa au kutelekezwa halafu anatokea mwanamke malaya anajiingiza mule na kutafuta wanawake malaya na kuwauza kwa wanaume kingono malipo anachukua yeye kama bosi wa malaya hao. Hilo jumba bovu linageuzwa guest bubu ya shaashaa wanaume wanapata ngono za bei rahisi harakaharaka wanamaliza hamu zao za kujamiana na wanawake hao malaya na malaya hao watapata posho zao kwa bosi wao ambaye ndiye kahaba mkuu
 
Nyumba ya utamu kwa kina Domo zege.
Kwenye danguro hutongozi, unachagua unayemuona atamaliza nyege zako, Bei Ni fixed, unalipa unapata uroda. Ukitaka kuendelea baada ya bao unalipa Tena, Ila Mara nyingi hawapendi mteja apige Cha pili labda uende kwa mwingine ambaye hajui Kama umeshapiga bao muda huo huo.
Enzi za Nyerere madanguro yaliendeshwa na wadada wa kihaya tu nchi nzima ispokua mkoa wa Lindi, Mbeya na Singida. (Kuna sababu maalum)
 
Back
Top Bottom