Dani Cadena kocha bingwa wa figisu asiye na uwezo aliyeivuruga Azam. Kaweza kuzuia Mgunda lakini hatashinda gemu hata moja

Dani Cadena kocha bingwa wa figisu asiye na uwezo aliyeivuruga Azam. Kaweza kuzuia Mgunda lakini hatashinda gemu hata moja

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Viongozi wa simba waamini kwenye rangi nyeupe kurubuni washabiki na kwenye upigaji.

kocha katoka azam na mazoezi ya video. Licha ya kuwa na sifa ya mazoezi ya kisasa. Hutoa mazoezi mengi sana na kuchosha makipa na mwisho wa siku huaribu viwango vya makipa.

Toka aje simba kiwango cha makipa kinashuka kila siku. Aly Salim hakuwa hivyo. Nasikia ana maneno ya chini chini na hana uwezo wa kuunganisha ata makipa tu na sio wachezaji.

Kama kawaida rangi imembeba na Mgunda kaponzwa na Rangi yangi yake. Viongozi wanaamini washabiki watampenda sababu ni mzungu. Ila wachezaji wengi hawamuelewi na wametishwa kumgomea

Lakini mchezo huu kama wachezaji hawezi kuwaandaa kiakili basi simba lazima igongwe kila gemu atakayoongoza
 
Viongozi wa simba waamini kwenye rangi nyeupe kurubuni washabiki na kwenye upigaji.

kocha katoka azam na mazoezi ya video. Licha ya kuwa na sifa ya mazoezi ya kisasa. Hutoa mazoezi mengi sana na kuchosha makipa na mwisho wa siku huaribu viwango vya makipa.

Toka aje simba kiwango cha makipa kinashuka kila siku. Aly Salim hakuwa hivyo. Nasikia ana maneno ya chini chini na hana uwezo wa kuunganisha ata makipa tu na sio wachezaji.

Kama kawaida rangi imembeba na Mgunda kaponzwa na Rangi yangi yake. Viongozi wanaamini washabiki watampenda sababu ni mzungu. Ila wachezaji wengi hawamuelewi na wametishwa kumgomea

Lakini mchezo huu kama wachezaji hawezi kuwaandaa kiakili basi simba lazima igongwe kila gemu atakayoongoza
Na iwe hivyo
 
Viongozi wa simba waamini kwenye rangi nyeupe kurubuni washabiki na kwenye upigaji.

kocha katoka azam na mazoezi ya video. Licha ya kuwa na sifa ya mazoezi ya kisasa. Hutoa mazoezi mengi sana na kuchosha makipa na mwisho wa siku huaribu viwango vya makipa.

Toka aje simba kiwango cha makipa kinashuka kila siku. Aly Salim hakuwa hivyo. Nasikia ana maneno ya chini chini na hana uwezo wa kuunganisha ata makipa tu na sio wachezaji.

Kama kawaida rangi imembeba na Mgunda kaponzwa na Rangi yangi yake. Viongozi wanaamini washabiki watampenda sababu ni mzungu. Ila wachezaji wengi hawamuelewi na wametishwa kumgomea

Lakini mchezo huu kama wachezaji hawezi kuwaandaa kiakili basi simba lazima igongwe kila gemu atakayoongoza
Unachosahau ni kuwa nyuma ya Cadena kuna Matola akiwa msaidizi mwenye uzoefu, pia huyu ni kocha wa muda akisubiriwa mtaalam mwenye uwezo na CV kubwa zaidi.
 
Wachezaji i wastafu.....

Mstaafu saido
Mstaafu chama
Mstaafu Boko
Mstaaf miquissosn.
Mstaafu Ngoma.
Mstaafu shomary...,.
Mstaafu shabalala
Wachezaji watano wa kikosi cha kwanza cha Al Ahly umri wao ni mkubwa sawa sawa na hao uliowataja lakini kwenye makabati yao kuna makombe ya kila aina.

Umri kuwa mkubwa sio hasara peke yake kwenye timu kuna faida zake pia.
 
Back
Top Bottom