Dann Sserenkuma kuvunja mkataba na Simba SC, Uchawi watajwa kuwa sababu


😕
 

Attachments

  • 1426802187549.jpg
    68 KB · Views: 222

Mlienda kuua Albino ili tu muwafunge Yanga Fc... Kuwa mkweli tu mkuu.
 

Wewe hata timu yako huijui vizuri, Mkude alidai 80m akapewa 25m na gari naskia kaenda kudai hela iliyobaki akaambiwa thamani ya gari ni 60m. kiongera lazima alipwe kwani angefungua kesi kama Musoti . Unajua Tambwe bado anawadai hela za kuvunja mkataba?
 
Kama huwalipi vizuri na kwa wakati wachezaji wako watalipwa na maadui zako.
 

Jonas Mkude aliposaini mwaka jana, alipewa 80m, Toyota GX 115 na mshahara wake ukapaa hadi 2m.

Baada ya kuona ameondolewa kikosini, Kiongera aliomba aachwe ili atafute timu nyingine ili "kulinda kipaji chake". Simba Sc "Taifa Kubwa" waligoma kumuacha, ila waliamua kumpeleka kwa mkopo ligi ya Kenya.. na mshahara wake wanamlipa kama kawa.

Mkataba wa Tambwe na Simba Sc unaujua vizuri? Kama Tambwe anaidai Simba Sc kwanini asiwashitaki TFF, FIFA au hata CAS? Kila siku amekalia kupiga domo tu.. mara "simba nawadai".. mara "sijui hata hela zangu nitazipataje"..
Tambwe hadai chochote Simba Sc.
 


mkuu watafsirie kiswahili unajua mashabiki wa simba wengi vilaza wa kingereza ona umebandika hili bado mtu anabisha mns ajaelewa kilichoandikwa wakiitaji kirusi nijuze niwatafusirie
 

Si ajabu hicho chanzo cha ndani ni ubongo wako
 
Kanda mbili bana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mtasema yote nyie ila Ipo Siku utaipenda Simba mnyama Taifa kubwa tuachien Simba yetu

Siku ambayo serikali ya Tanzania itaruhusu waganga kufanya kazi zao hadharani.

Timu imejaa wachawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…