Simba hakuko shwari mkuu mechi ya yanga ndiyo dewji alifanya mambo.
Hivi huwa mnapata faida gani kuandika habari za kutunga na za uongo kama hizi? Ingekuwa ni kwenye gazeti tungesema labda ulikosa habari ukaamua uandike tu ili kurasa zijae.
Hii habari ya kukatisha mkataba imeandikwa kwenye gazeti la Mwanaspoti na sababu kubwa imeelezwa ni kulinda kipaji chake kwa sababu amekuwa hachezeshwi mara kwa mara sasa hizo sababu za kwamba timu haina mwendelezo mzuri na sijui ni kwa sababu ya ushirikina mara wenzake wanamchawia wewe umezipata wapi?
Mara nyingi tunapenda sana kulaumu waandishi wa habari kwa kupenda kuongeza chumvi kwenye habari zao lakini huwa tunalazimika kuwaelewa kwamba labda hawajasoma vizuri ndo maana wanafanya hivyo au kwa sababu wanajua wateja wao wanataka nini hivyo wanapenda kuongeza chumvi ili wafanye biashara, sasa wewe kuongeza chumvi, tena hii sio chumvi tuseme ni kuweka sumu kabisa nini msukumo wake?
Upinzani wa jadi sio lazima uandike mabaya kwa mwenzako hasa yale ambayo sio ya kweli.
Timu ambayo inamlipa mchezaji wake Okwi 5.3m kwa mwezi, unasemaje "kuna njaa"?
Timu ambayo juzi juzi ilmkabidhi 80m mkude na kudouble mshahara wake, huoni aibu kusema "kuna njaa"?
Timu ambayo inaendelea kumlipa kiongera mshahara mnono japo imemuondoa katka list ya wachezaji iliyowasajili, unapataja wapi nguvu ya kusema "kuna njaa"?
Timu ambayo ilitumia zaidi ya 80m kuvuka bahari ya hindi kwenda kujiandaa na mechi ya Yanga, huoni soni kusema "kuna njaa"?
Labda sijui maana ya neno "kuna njaa".
Timu ambayo inamlipa mchezaji wake Okwi 5.3m kwa mwezi, unasemaje "kuna njaa"?
Timu ambayo juzi juzi ilmkabidhi 80m mkude na kudouble mshahara wake, huoni aibu kusema "kuna njaa"?
Timu ambayo inaendelea kumlipa kiongera mshahara mnono japo imemuondoa katka list ya wachezaji iliyowasajili, unapataja wapi nguvu ya kusema "kuna njaa"?
Timu ambayo ilitumia zaidi ya 80m kuvuka bahari ya hindi kwenda kujiandaa na mechi ya Yanga, huoni soni kusema "kuna njaa"?
Labda sijui maana ya neno "kuna njaa".
Mlienda kuua Albino ili tu muwafunge Yanga Fc... Kuwa mkweli tu mkuu.
Wewe hata timu yako huijui vizuri, Mkude alidai 80m akapewa 25m na gari naskia kaenda kudai hela iliyobaki akaambiwa thamani ya gari ni 60m. kiongera lazima alipwe kwani angefungua kesi kama Musoti . Unajua Tambwe bado anawadai hela za kuvunja mkataba?
Kwa hiyo wachezaji wanapewa sabuni za kuwawezesha wawe na ufanisi uwanjani?
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Dann Sserenkuma aliyesajiliwa kutoka Gor Mahia ya Kenya ameomba viongozi wa Simba kuvunja mkataba nae.
Dann bado hajarudi kutoka kwao, aliomba ruhusa kuwa ana matatizo ya kifamilia, alitakiwa awe amerudi toka wiki iliyopita lakini ametuma taarifa ya kutaka kuvunja mkataba.
Kanuni za simba zinaruhusu kufanyika mazungumzo ya uvunjaji mkataba, endapo Mchezaji hajaonyesha kiwango kizuri cha kusaidia timu.
Chanzo cha ndani kinaeleza baadhi ya sababu kuwa kichochezi kwa kuondoka kwa mchezaji huyo.
1. Kukaa Benchi muda mrefu bila kucheza.
2. Timu kutokuwa na muendelezo mzuri kwenye Ligi.
3. Pia Sserenkuma alieleza zaidi kuwa baadhi ya Viongozi wa Simba SC wanamlazimisha kutumia madawa ya ushirikina ( kwa mfano: ya kupata na kuogea) ili kuiwezesha simba ifanye vizuri katika mechi A ligi Kuu.
Danny Sserenkuma ameonekana akikerwa na imani ya Club ya simba katika masuala ya ushirikina.
Anasema kuna baadhi ya wachezaji wenzake wana mchawia kiwango chake ili waweze pata nafasi katika kikosi cha kwanza.
Mtasema yote nyie ila Ipo Siku utaipenda Simba mnyama Taifa kubwa tuachien Simba yetu
Kanda mbili bana
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mzee mzima hujui kiswahili "bana" ndio nini?