Ha ha haaaaa
Safi sana
Hiyo michepuko inafikiri kila kitu inaweza kuingilia.. nilijua hili litakuja.. akili sifuri kisa alifikiri utajiri unaambukizwa kupitia ngono.. eeeeh
Tarehe 30 Inawadia ni kesho kutwa.
Mnitag sitaki kupitwa na udaku wa star mpenda kupaoaswa bila kujionea aibu. Aliniuzi sana kumpamba misa siku aliongea Clouds.. ila misa akisubiri kesi imembidi aende Nairobi kupimbishwa na visichana virafiki vyake alivyokugana navyo Insta.. wanamtumia kama gari bovu kupata pesa huku yeye anatumia mwili wake.. jingwa kubwa.