Danube wamuandikia hamisa mobetto barua afute tangazo lao katika instagram page yake

Danube wamuandikia hamisa mobetto barua afute tangazo lao katika instagram page yake

Ha ha haaaaa
Safi sana

Hiyo michepuko inafikiri kila kitu inaweza kuingilia.. nilijua hili litakuja.. akili sifuri kisa alifikiri utajiri unaambukizwa kupitia ngono.. eeeeh

Tarehe 30 Inawadia ni kesho kutwa.
Mnitag sitaki kupitwa na udaku wa star mpenda kupaoaswa bila kujionea aibu. Aliniuzi sana kumpamba misa siku aliongea Clouds.. ila misa akisubiri kesi imembidi aende Nairobi kupimbishwa na visichana virafiki vyake alivyokugana navyo Insta.. wanamtumia kama gari bovu kupata pesa huku yeye anatumia mwili wake.. jingwa kubwa.
Hebu tuliza munkari basi hata uandike ueleweke!!
 
Hajui kutumia fursa huyu mdada! Ana uswahiliswahili sana vinginevyo kuwa na Mondi ni fursa tosha kutoka kimaisha ila yeye hakujua kuitumia akaishia kwenye mipasho ya kijinga. Mwenzake Zari kajimilikisha tena yeye kabaki na uswahili wake
Tatizo ni elimu. Anaweza kuwa hajui aanzie wapi kupata hizo fursa na wanaomzunguka pia hawajui. Anaweza pia kuwa hajui kafikaje hapo hivyo kujua ni fursa gani anatakiwa kuwa nayo ni kazi ngumu. Hajui pia kumtafuta mshauri mzuri wa kupatia hizo fursa. Nikazi kweli kweli.
 
Danube nao waache roho mbaya kha! Maagizo toka dash dash kazi kweli kweli!
Hamisa fanya ya kujiendeleza enough with this drama utajutia mbele ya safari. Jenga maisha yako na watoto wako kikubwa omba sana kwa Mungu wako juu ya ulinzi wa watoto wako kemea laana ya kukataliwa. Shinda roho ya majivuno jijenge kiroho na kiuchumi utakuwa mtu wa kucheka sanaaaa mbeleni ukigeuka nyuma na kuangalia ulikotoka. Mungu hawezi kukuacha. Jenga heshima kwa watoto wako mengine ni mpango wa Mungu. Be Happy Life is too short!
 
Danube nao waache roho mbaya kha! Maagizo toka dash dash kazi kweli kweli!
Hamisa fanya ya kujiendeleza enough with this drama utajutia mbele ya safari. Jenga maisha yako na watoto wako kikubwa omba sana kwa Mungu wako juu ya ulinzi wa watoto wako kemea laana ya kukataliwa. Shinda roho ya majivuno jijenge kiroho na kiuchumi utakuwa mtu wa kucheka sanaaaa mbeleni ukigeuka nyuma na kuangalia ulikotoka. Mungu hawezi kukuacha. Jenga heshima kwa watoto wako mengine ni mpango wa Mungu. Be Happy Life is too short!
Sasa nimeelewa kumbe ni maagizo ya mungu wa Darisalama!!

Kweli huyu dada akae pembeni au ahame jiji.
 
Danube nao waache roho mbaya kha! Maagizo toka dash dash kazi kweli kweli!
Hamisa fanya ya kujiendeleza enough with this drama utajutia mbele ya safari. Jenga maisha yako na watoto wako kikubwa omba sana kwa Mungu wako juu ya ulinzi wa watoto wako kemea laana ya kukataliwa. Shinda roho ya majivuno jijenge kiroho na kiuchumi utakuwa mtu wa kucheka sanaaaa mbeleni ukigeuka nyuma na kuangalia ulikotoka. Mungu hawezi kukuacha. Jenga heshima kwa watoto wako mengine ni mpango wa Mungu. Be Happy Life is too short!
Ungemshauri haya kabla hajaaribu sasa
 
Tatizo ni elimu. Anaweza kuwa hajui aanzie wapi kupata hizo fursa na wanaomzunguka pia hawajui. Anaweza pia kuwa hajui kafikaje hapo hivyo kujua ni fursa gani anatakiwa kuwa nayo ni kazi ngumu. Hajui pia kumtafuta mshauri mzuri wa kupatia hizo fursa. Nikazi kweli kweli.
Lakini mkuu bosi Ruge si yupo pale Clouds anafundisha fursa daily.....[emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom