Danube wamuandikia hamisa mobetto barua afute tangazo lao katika instagram page yake

Danube wamuandikia hamisa mobetto barua afute tangazo lao katika instagram page yake

Danube nao waache roho mbaya kha! Maagizo toka dash dash kazi kweli kweli!
Hamisa fanya ya kujiendeleza enough with this drama utajutia mbele ya safari. Jenga maisha yako na watoto wako kikubwa omba sana kwa Mungu wako juu ya ulinzi wa watoto wako kemea laana ya kukataliwa. Shinda roho ya majivuno jijenge kiroho na kiuchumi utakuwa mtu wa kucheka sanaaaa mbeleni ukigeuka nyuma na kuangalia ulikotoka. Mungu hawezi kukuacha. Jenga heshima kwa watoto wako mengine ni mpango wa Mungu. Be Happy Life is too short!
Akifuata haya atashinda lasivo itakua fedheha baada ya fedheha
 
Pelekeni watoto wenu shule ndugu zangu!

Sema nchi hii nayo tofauti ya msomi na asiye msomi ni ndogo mno!

Ila wapelekeni tu at least wataelimika!
Wanafikiria kwa Viungo vingine badala ya ubongo
 
Bora kuwa na sura kama y baba ako kuliko kunyimwa akili
 
Huyu dada baada ya kufanya uchunguzi nmegundua...
She's a THREAT

watu wengi maarufu wanamchukia kwa sababu kwanza kazaa na diamond nafasi ambayo wengi wanaitaka
kingine hamisa hakopeshi kwenye evidence...
ukimchokoza anamwaga mambo hadharani ..
Thats all??? Faida ya hayo??
 
Pelekeni watoto wenu shule ndugu zangu!

Sema nchi hii nayo tofauti ya msomi na asiye msomi ni ndogo mno!

Ila wapelekeni tu at least wataelimika!
Nimechekaaa...saa nyingine tofauti unaweza uikose kabisa
 
Danube nao waache roho mbaya kha! Maagizo toka dash dash kazi kweli kweli!
Hamisa fanya ya kujiendeleza enough with this drama utajutia mbele ya safari. Jenga maisha yako na watoto wako kikubwa omba sana kwa Mungu wako juu ya ulinzi wa watoto wako kemea laana ya kukataliwa. Shinda roho ya majivuno jijenge kiroho na kiuchumi utakuwa mtu wa kucheka sanaaaa mbeleni ukigeuka nyuma na kuangalia ulikotoka. Mungu hawezi kukuacha. Jenga heshima kwa watoto wako mengine ni mpango wa Mungu. Be Happy Life is too short!
Baada ya hii kadhia naamini Mungu atamletea faraja!! Maana anatia huruma jamani ni full mikosi loh!! Ila pia hao mtu na mkewe nao wajiangalie sana Mungu husimama na viumbe dhaifu
 
abde2809718dd02e24e903f0432a9415.jpg
 
Shobo z nn? Wakati wenzie Dai n Zari wanalipwa mihela tu uko
 
Kitoto kiswahili hiki.. Hadi kero.. Kichwani punguani kabisa.. Kinadandia dandia issue.... Kimeenda Kenya huko.. Kikaleta uswahili kikapewa makavu
 
Hii vita itakuwa na msukumo nyuma yake, sidhani kama kuna mfanyabiashara anayechukia promo ya bure...
Ni ujinga kwa mfanyabiashara kufanya walofanya......

Wao kama watafuta fursa wangecheza na bifu la kijinga na zari na hamisa.......

Sema ndio biti la fulani limechangia....
 
Ha ha haaaaa
Safi sana

Hiyo michepuko inafikiri kila kitu inaweza kuingilia.. nilijua hili litakuja.. akili sifuri kisa alifikiri utajiri unaambukizwa kupitia ngono.. eeeeh

Tarehe 30 Inawadia ni kesho kutwa.
Mnitag sitaki kupitwa na udaku wa star mpenda kupaoaswa bila kujionea aibu. Aliniuzi sana kumpamba misa siku aliongea Clouds.. ila misa akisubiri kesi imembidi aende Nairobi kupimbishwa na visichana virafiki vyake alivyokugana navyo Insta.. wanamtumia kama gari bovu kupata pesa huku yeye anatumia mwili wake.. jingwa kubwa.
Nani ni mchepuko???
 
Ni ujinga kwa mfanyabiashara kufanya walofanya......

Wao kama watafuta fursa wangecheza na bifu la kijinga na zari na hamisa.......

Sema ndio biti la fulani limechangia....
Kwanza sina uhakika kama barua ni legit na kama ni legit basi Danube wapo sahii kwa 100%!!

Haiwezekani mambo yenu binafsi, tena ya kugombea mabwana, mnayaingiza kwenye biashara ya mtu mwingine asiyehusika!! Hivi huoni ile clips ilikuwa inaashiria Danube nao wana upande kwenye hili au kuna kitu kinaendelea kati yao na Hamisa?!

Don't forget, hadi kuwa-tag aliwa-tag!!!

Labda tuseme, kama ni kweli hiyo barua ni legit, was it necessary hadi kufikia kumlima barua?! Walimwambia kwa mdomo/simu na akaacha kutoa?!
 
Back
Top Bottom