Dar: Afungwa maisha jela kwa kumlawiti mtoto wa miaka tisa

Ndio maana hizi tabia za ushoga kwa vijana wadogo zinashamiri.
Eee Mungu tuepushe na hili janga kwa mabinti na vijana wetu ,amina.
 
hv mengine hua ni akili ya mtu au kunakua na tatizo la ki'ufundi ?

mimi kuna habari zingine hua nikisoma naishia kusikitika tu maana akili yangu inakua haiamini kama ni kweli Binadamu anaweza kufanya kitendo ambacho hata Wanyama hua hawafanyi...

mbona sijawahi kuona Wanyama wakilawitiana sisi Binadamu na akili zetu timamu hua tunakwama wapi ?
 
Kwamba mtaani hakuna wanawake mpaka afikie hatua hii!
Kuna shida hapa
 
Kuna wakati ulizuka mjadala bungeni kuwa itungwe sheria ya kuhasi watu kama hawa, sijui mjadala huo uliishia wapi!

Ilitakiwa kwa mtu kama huyu, ikithibitika bila shaka kwamba alifanya, basi zinang'olewa zote anabakiziwa kikojoleo tu, kisha adhabu zingine ambatanishi kama hiyo fine ndiyo zinafuata.

Wakati akitekeleza adhabu ambatanishi anakuwa tayari keshang'olewa, hana.

Adhabu aina hii ingelimaliza kabisa janga hili,maana kila mwanamme hulinda uanaume wake kwa nidhamu, juhudi na maarifa.
 
Jay anatafuta figo huko, c wangofoe kwa mjinga kama huyu tu
 
Wakati telegram wamejaa madem kibao
Tena wanakuambia kabisa tunapiga miguu
Yote yote !

Ova
 
Mbona malaya wengi tu, tena wengine wanatoa tigo kavu kwa pesa kidogo haizid 8000. Amejitakia kifungo. Akitoka jela aje buguruni mbele 5000, tigo 8000 tena kavukavu ndom akipenda mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…