DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

Me kitu ambacho huwa nashindwa kuelewa ni pale tu tunapojuzwa alfa lkn omega hatuambiwi kuwa imeaMriwa vp
Mkuu mbona kwenye issue ya Lugumi tulijuzwa Omega?
Waziri alisema kua Lugumi alikua Sahihi kabisa ila Serikali ndo ilikosea.
 
Mkuu mbona kwenye issue ya Lugumi tulijuzwa Omega?
Waziri alisema kua Lugumi alikua Sahihi kabisa ila Serikali ndo ilikosea.
hahahaha dah!
kiazi sana we jamaa!
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mtanikumbuka. Wazee hata mimi Pogba namkumbuka. Kuna ushenzi asingeukalia kimya.
 
Mtanikumbuka. Wazee hata mimi Pogba namkumbuka. Kuna ushenzi asingeukalia kimya.
Alikuwa tapeli tuu mwendazake alijaa visasi,je ilivoisha uliona? Alifanya vile akilenga jambo baada tu la kulipata wakamuachia
Alichokua anakifanya ndicho vijana wake akina sabaya walikua wanakifanya
 
None sense kabisa
Kwani lazima anitapeli mimi?
Aliyekuambia mtu kuwa tapeli npaka akutapeli wewe ni nani?
Na muaji lazima akuue wewe?
Waliotendewa sio binadamu kama wewe?

Kwahiyo nikubali tu bila kujua amemtapeli nani? Natural justice haifanyi kazi hivyo.
Na haina maana namtetea. Labda kweli ni tapeli
 
Kwahiyo nikubali tu bila kujua amemtapeli nani? Natural justice haifanyi kazi hivyo.
Na haina maana namtetea. Labda kweli ni tapeli
Ungetaka kujua kamtapeli nani basi swali lako ingekuja hivyo,sasa wewe umeniuliza mm kwamba amekutapeii nini?
Umeonyesha kichwa chako ni empty kabisa
Mtu kuitwa tapeli umemaanisha mpaka akutapeli wewe,ingekuwa hivyo pasingekuwepo mkosaji maana ata hakimu angesubiri mpaka atapeliwe yeye ndo aamini kweli utapeli,udhurumaji,wizi n.k upo kwa kuwa yeye kafanyiwa
Kinyume na hapo hapana
Anyway ngoja tuache maana Tunayemuonge
a alishazikwa
 
Watanzania bwana...tunapenda kutunga maneno maneno bila ushahidi. Kutwa umbeya.
Sibithisha amemtapeli nani. Usiseme tu kama wote tuko kwenye msafara wa nyumbu tunavuka Serengeti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…