Dar: Barabara ya Jangwani yafungwa kutokana na mvua zinazoendelea





Bar_she_te si alisema atajenga daraja hapo la 300m kwenda juu?
 
Serikali ya ccm ilishakataza. Kuzusha mambo kama wale wa arusha
Mbona watu hawaelewi?
Kuna cha kuzusha mambo hapo?au Ukisema ukweli una ambiwa umezusha mambo? Au mpaka wafe watu ndio utajuwa kuwa hayo maji yanayo madhara kwa binadamu?Kaka unazeeka vibaya nini?
 
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa unajipenda kweli kuripoti jambo kama hili kwa serikali hii inayojipambanua kuweka miundo mbinu bora kabisa kuliko awamu yeyote?
Kwani ni kweli huyo ni mwenyekiti wa mtaa?
 

Waziri wa afya anasema kuzuia corona tunawe mikono na sabuni kwa kutumia maji tiririka, haya si maji tiririka? Neno safi ameliacha wapi?
 
Kipindi DART wanajenga zile ofisi Magu alikuwa na cheo kipi serikalini ?
waziri wa ujenzi!
ila kuna mengi aye alikuwa anaoperate under some one
pale jangwani ni mkusanyiko wa mambo mengi yaliyiokosewa tangu huko nyuma ujenzi holela - mipango miji . hivyo kuondoa uata ni kuweka daraja la juu kuanzia magomeni kwenda mpaka fire
 
Je wakati wa kutoka kuna kunawa mikono? Vile viti na mkanda ya kushika vyote hutumiwa na watu wengi na hivyo unaweza kuwabeba hao Corona na kuwaambukiza watu wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…