Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
HIYO NDIO HALI YA DARAJA LA MTO MSIMBAZI MJINI DARES-SALAAM LEO LIMEFURIKA KWA MAJI HAPAPITIKI NA KUNA VIONGOZI WA SERIKALI WANAO HUSIKA WAHESHIMIWA MKUU WA MKOA, MBUNGE NA WAZIRI ANAYE HUSIKA WAMEYAFUMBIA MACHO HAYO MAJANGAA YA MAJI, UTAFIKIRI HAWAYAONI MADHARA YANAYO WAKUTA WATU WA MAENEO HAYO NI HATARI SANA KWA USALAMA WAO KIMAISHA.
View attachment 1396435
Kuna cha kuzusha mambo hapo?au Ukisema ukweli una ambiwa umezusha mambo? Au mpaka wafe watu ndio utajuwa kuwa hayo maji yanayo madhara kwa binadamu?Kaka unazeeka vibaya nini?Serikali ya ccm ilishakataza. Kuzusha mambo kama wale wa arusha
Mbona watu hawaelewi?
Kwani ni kweli huyo ni mwenyekiti wa mtaa?Mwenyekiti wa serikali ya mtaa unajipenda kweli kuripoti jambo kama hili kwa serikali hii inayojipambanua kuweka miundo mbinu bora kabisa kuliko awamu yeyote?
HIYO NDIO HALI YA DARAJA LA MTO MSIMBAZI MJINI DARES-SALAAM LEO LIMEFURIKA KWA MAJI HAPAPITIKI NA KUNA VIONGOZI WA SERIKALI WANAO HUSIKA WAHESHIMIWA MKUU WA MKOA, MBUNGE NA WAZIRI ANAYE HUSIKA WAMEYAFUMBIA MACHO HAYO MAJANGAA YA MAJI, UTAFIKIRI HAWAYAONI MADHARA YANAYO WAKUTA WATU WA MAENEO HAYO NI HATARI SANA KWA USALAMA WAO KIMAISHA.
View attachment 1396435
waziri wa ujenzi!Kipindi DART wanajenga zile ofisi Magu alikuwa na cheo kipi serikalini ?
Hata sijui mkuu, ila ndivyo alivyojitambulisha.Kwani ni kweli huyo ni mwenyekiti wa mtaa?
Je wakati wa kutoka kuna kunawa mikono? Vile viti na mkanda ya kushika vyote hutumiwa na watu wengi na hivyo unaweza kuwabeba hao Corona na kuwaambukiza watu wengine.Njia ya Jangwani imefungwa kuanzia saa 10:15 jioni kutokana na mafuriko kwa mvua inayoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam
Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara. Wakifika Morocco wanaweza kuendelea na usafiri wa DART mpaka Kimara na sehemu nyingine za Jiji
Kwa wasafiri wanaoelekea Posta kutoka Kimara, tunawashauri kuchukua mabasi ya DART mpaka Morocco ambapo wanaweza kuchukua usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Posta, Kariakooo na sehemu nyingine za Jiji
ZINGATIA: Nawa mikono kabla ya kuingia kwenye Basi, Panga foleni ukiwa kituoni kwa kuingia kwenye Basi, Usiingie kwenye Basi kwa kugombania, Subiri Basi linalofuata endapo Basi iliyopo imejaa, Bila kunawa mikono kwa sabuni au dawa, hautaruhusiwa kuingia kwenye Basi