Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,555
- 2,216
Pambano la sita 'super heavy weight' kati ya Hafidh Mlawa na Emmanuel Philimon lilikuwa kali sana!!!
Ila kitendo alichokifanya bwana Emmanuel baada ya pambano kumalizika ni kibaya sana, dharau kubwa, ni cha kukemewa na BFT pamoja na wadau wote wa mchezo wa ndondi/masumbwi Tanzania.
Pole sana bwana Philimon 😂😂😂
Ila kitendo alichokifanya bwana Emmanuel baada ya pambano kumalizika ni kibaya sana, dharau kubwa, ni cha kukemewa na BFT pamoja na wadau wote wa mchezo wa ndondi/masumbwi Tanzania.
Pole sana bwana Philimon 😂😂😂