johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Haya sasa RAIA kazi kwenu wanajileta wenyewe uwanjani zamu yenu kuwapa kipigo nafikiri kwamba mtawamudu hao wahuniNi katika pambano la Simba na Yanga ambapo wanasiasa na viongozi wengi wa kisiasa wanatarajiwa kuhudhuria. Msemaji wa TFF amesema kutakuwa na askari wenye sare 400, askari kanzu 150, vikosi vya mbwa na farasi. Alfred Lucas amewakaribisha wapenzi wote wa michezo kushuhudia pambano hilo. Source EATV habari!
Wewe kazini kwako kuna kiingilio?!!!.......acha hizo!!
!
Vipi Wanaingi na kiingilio??
MamboMbona wengi hivyo
Poa za weweMambo
Safi mzima??Poa za wewe
Mzima mimi mkuu hofu kwakoSafi mzima??
Fresh tu hatimae leo nimechat na weweMzima mimi mkuu hofu kwako