johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni katika pambano la Simba na Yanga ambapo wanasiasa na viongozi wengi wa kisiasa wanatarajiwa kuhudhuria. Msemaji wa TFF amesema kutakuwa na askari wenye sare 400, askari kanzu 150, vikosi vya mbwa na farasi. Alfred Lucas amewakaribisha wapenzi wote wa michezo kushuhudia pambano hilo. Source EATV habari!