Dar es Salaam BRT is a massive failure. What can Nairobi learn?

Dar es Salaam BRT is a massive failure. What can Nairobi learn?

Also average transport cost on the Nairobi commuter rail costs between kshs 30 - kshs 60 to transport people as far as 50 km to and from Nairobi CBD. Compare that with Tzshs 1,400 or about Kes 70 for a two way commute on a 21 km line i.e. BRT system fares tend to be more expensive than commuter rail. This was the cause of a violent riot in Bogota.
Nairobi commuter rail phase 1 will use pre-existing infrastructure and carry more people over longer distances, at higher speed and at a cheaper price than BRT which require new infrastructure , travels at an average of 24 km/h and is about 50% more expensive than a commuter rail ticket.
Stop it bro....
Bus fare for BRT in Dar in that 21km is 650/=Tsh which is equal to 30/=Ksh that's only only one way, so go and return its about 1300/=Tsh which is equal to 60/=Ksh

While Daladala is more cheap than BRT which costs about 400/=Tsh which is equal to 19/=Ksh.....
This daladala costs same applies to Commuter Train from Pugu, Ubungo to CBD and Pugu to Tazara
 
Mwendelezo wa akili fupi, Sijui amelinganisha na wapi tena wakati sisi ndio tunabenchmark Kiswahili duniani kote

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa akili fupi sana
Anataka kujifanya anajua kiswahili kuliko mvumbuzi wa lugha, actually wacongo wanaongea better than Kenyans.

Ukisikia media zao jinsi wanavyoboronga kiswahili hata watanzania hawaongei broken English kiasi hicho.
 
Hiyo BRT ni mradi ulioangukia pua, mamia ya Watanzania wengi huomba zirejeshwe daladala za kawaida, niliwahi kujaribu kuitumia mara kadhaa ila kila nikikata tiketi najikuta nashuka nje ya kituo na kwenda kutafuta usafiri mwingine. Tatizo la hawa watu walivyolemazwa na ujamaa, huwa hawaambiliki.
Unaonekana hata unacho zungumza hukijui....kwani BRT iliondoa daladala? Kama kuna usafir watu wanaupenda na unatumiwa sana ni BRT ilo kusanyiko ni jibu tosha ....hakuna mfumo mpya usio na changamoto zake...nyie pambaneni na matatu zenu
 
Sio jukumu langu kuwaambia mnakwama wapi, inapaswa "wataalam" wenu kama mnao, wafanye utafiti kwanini huo mradi unawatesa watu badala ya kutoa huduma ipasavyo. Tatizo kila "mtaalam" kwenu sasa hivi anaimba mapambio ya misifa na kuchumia tumbo, hakuna anayetaka kuieleza kama ilivyo.
Nyie ndio mlipaswa kujiuliza hao watalam wenu walio kuwa wanaishauri serikali yenu kupaka rangi pale thika na kuandika brt ndio memaliza sasa mnayo brt [emoji23][emoji23][emoji23] pasipo kujua BRT ni mfumo mzima
 
We have been told many times that Dar BRT is a success story. But is that really the case? According to people who actually use it, the BRT is a failure that requires complete overhaul.

The buses and stations are crowded more than an Indian train station. Travellers are worried of contracting TB.
The waiting times are extraordinarily long. Paper ticketing no longer works.

As Nairobi prepares to launch its own brt on several corridors, how can we prevent the mistakes of Dar?

This is a report by ITV.

As expected, it has performed very poorly on YouTube with only 300 views. Nafikiri ni kwasababu sio video ya kuimba sifa za rais dokta John Pombe Magufuli, na serikali ya awamu ya tano.


Failure kwa sababu demand ni kubwa kuliko uwezo wa aliyepewa tender ni mmoja ..kwa hiyo cha kujifunza hapo nairobi ni mjaze migari lundo na wawe supplier tofauti walau wawili per route ili kuleta ushindani na ubora wa huduma ...... Hapa Dsm serikali imekuwa wazito kiruhusu supplier mwingine aingie na wameshikilia mibasi kibao bandarin coz aupplier wa kwanza hajalipa ushuru
 
Unaonekana hata unacho zungumza hukijui....kwani BRT iliondoa daladala? Kama kuna usafir watu wanaupenda na unatumiwa sana ni BRT ilo kusanyiko ni jibu tosha ....hakuna mfumo mpya usio na changamoto zake...nyie pambaneni na matatu zenu

Wewe utakua umeganda kijijini haujui nini kinaongelewa kwenye huu mradi.......waulize kama una ndugu wanaotumia huo usafiri kila siku, mimi nazungumza kuhusu kero nilizoshuhudia na sio mara moja, yaani kila nikitaka kuyatumia.

 
Failure kwa sababu demand ni kubwa kuliko uwezo wa aliyepewa tender ni mmoja ..kwa hiyo cha kujifunza hapo nairobi ni mjaze migari lundo na wawe supplier tofauti walau wawili per route ili kuleta ushindani na ubora wa huduma ...... Hapa Dsm serikali imekuwa wazito kiruhusu supplier mwingine aingie na wameshikilia mibasi kibao bandarin coz aupplier wa kwanza hajalipa ushuru
hivi unajua mchana gari hukosa abiria mpaka zipaki.

jioni si BRT tu, hata daladala huzidiwa na wingu wa abiria, kama muwekezaji ameona fulsa achukue huoko kwenye daladala.
 
Wewe utakua umeganda kijijini haujui nini kinaongelewa kwenye huu mradi.......waulize kama una ndugu wanaotumia huo usafiri kila siku, mimi nazungumza kuhusu kero nilizoshuhudia na sio mara moja, yaani kila nikitaka kuyatumia.

unaleta video ina mwaka kwenye mada ya leo, wakati tatizo liliishatatuliwa.

unaweka rehani malinda yako falla wewe.
 
Wewe utakua umeganda kijijini haujui nini kinaongelewa kwenye huu mradi.......waulize kama una ndugu wanaotumia huo usafiri kila siku, mimi nazungumza kuhusu kero nilizoshuhudia na sio mara moja, yaani kila nikitaka kuyatumia.

Unaonekan hujui kitu zaid ya blabla nyingi ....tatizo lilikuw kimara sabab ya kuanzishwa kwa express huduma , unakuta bas linatoka kimara brake ni kivukoni au Kariakoo ...ina vuka abiria hapa katikat ...sasa hili mbona lilisha fanyiw kazi mda sana ....km nilivy kwambia new system come with its issues.....so tuliza kende
 
hivi unajua mchana gari hukosa abiria mpaka zipaki.

jioni si BRT tu, hata daladala huzidiwa na wingu wa abiria, kama muwekezaji ameona fulsa achukue huoko kwenye daladala.
Chief kama ni mkazi wa dsm nq unapanda Brt hupaswi kutetea udhaifu wao
 
Wewe utakua umeganda kijijini haujui nini kinaongelewa kwenye huu mradi.......waulize kama una ndugu wanaotumia huo usafiri kila siku, mimi nazungumza kuhusu kero nilizoshuhudia na sio mara moja, yaani kila nikitaka kuyatumia.


Hii kiswAhili ya Dar huwa funny sana,
Hahah
 
pombe za kienyeji zinakuua akili
Hiyo BRT ni mradi ulioangukia pua, mamia ya Watanzania wengi huomba zirejeshwe daladala za kawaida, niliwahi kujaribu kuitumia mara kadhaa ila kila nikikata tiketi najikuta nashuka nje ya kituo na kwenda kutafuta usafiri mwingine. Tatizo la hawa watu walivyolemazwa na ujamaa, huwa hawaambiliki.
 
unaleta video ina mwaka kwenye mada ya leo, wakati tatizo liliishatatuliwa.

unaweka rehani malinda yako falla wewe.

Mbona video za 2020 zipo, halafu hadi leo mnauita mradi mpya ilhali wenyewe upo tangu enzi za Kikwete, mumeshindwa kuuboresha ni full kero, Waafrika bana.
 
Mpuuzi huyo sababu akihotoa eti watu wanachukua mda mrefu station hiyo siyo failure but imeonyesha uhitaji wake ni mkubwa ndo maana watu hulundikana na hii ina maana mabasi yanatakiwa kuongezeka na kama haiwezekani ina maana njia mbadala ni kuweka treni ndogo ndogo zintengenezewe barabara kama za BRT na hizo treni hubeba 100 - 300 kwa mkupuo na mwendo wake ni salama na inauwezo wa kusimamia haraka kidogo so it's all about what is failure in his head by definition.
We jamaa sijui huwa unawaza na nini.husemi sababu ya kueleweka kwanini brt imefeli wakati zinaendelea kutoa huduma kama kawaida.
 
Alfu hyu 254 anabisha tu kukuzingua ila anajua ukweli demand ni kubwa. Alafu isitoshe population ya dsm ni zaidi ya 5mil people ni zaidi ya jiji lolote Afrika Mashariki. Uwezo wa jiji kuhudumia watu ni sio mdogo ila ni wa changamoto kufika malengo
Unaonekan hujui kitu zaid ya blabla nyingi ....tatizo lilikuw kimara sabab ya kuanzishwa kwa express huduma , unakuta bas linatoka kimara brake ni kivukoni au Kariakoo ...ina vuka abiria hapa katikat ...sasa hili mbona lilisha fanyiw kazi mda sana ....km nilivy kwambia new system come with its issues.....so tuliza kende
 
Mbona video za 2020 zipo, halafu hadi leo mnauita mradi mpya ilhali wenyewe upo tangu enzi za Kikwete, mumeshindwa kuuboresha ni full kero, Waafrika bana.
hata january 2020,ni 2020 hiyo hiyo.

swala ni moja tatizo bado lipo au limetengemaa, pamoja na janga la corona kupiga mfumo wake wa upatajia faida BRT haikuona ni sawa tu kuacha kutoa huduma, lilibeba level seats na kujipatia shiling elfu 14 tu kila gari ambazo hazikutosha hata kununua mafuta ya oneway route kimara to kivukoni.

sisi kama wana dsm, tunajivunia mwendokasi, ndio sababu iliposumbua hatukukaa kimya, mpaka mshika tenda akaingia matatizoni. kazi kwenu ambao hata hamjui 1km ya BRT system inacost time, money, power kiasi gani,mkajaribu kutia rangi kwenye barabara za kawaida.
 
Back
Top Bottom