Mwendelezo wa akili fupi, Sijui amelinganisha na wapi tena wakati sisi ndio tunabenchmark Kiswahili duniani koteKwani wapi pengine ulimwenguni kuna kiswahili ukiondoa Tanzania?
Stop it bro....Also average transport cost on the Nairobi commuter rail costs between kshs 30 - kshs 60 to transport people as far as 50 km to and from Nairobi CBD. Compare that with Tzshs 1,400 or about Kes 70 for a two way commute on a 21 km line i.e. BRT system fares tend to be more expensive than commuter rail. This was the cause of a violent riot in Bogota.
Nairobi commuter rail phase 1 will use pre-existing infrastructure and carry more people over longer distances, at higher speed and at a cheaper price than BRT which require new infrastructure , travels at an average of 24 km/h and is about 50% more expensive than a commuter rail ticket.
Jamaa akili fupi sanaMwendelezo wa akili fupi, Sijui amelinganisha na wapi tena wakati sisi ndio tunabenchmark Kiswahili duniani kote
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekana hata unacho zungumza hukijui....kwani BRT iliondoa daladala? Kama kuna usafir watu wanaupenda na unatumiwa sana ni BRT ilo kusanyiko ni jibu tosha ....hakuna mfumo mpya usio na changamoto zake...nyie pambaneni na matatu zenuHiyo BRT ni mradi ulioangukia pua, mamia ya Watanzania wengi huomba zirejeshwe daladala za kawaida, niliwahi kujaribu kuitumia mara kadhaa ila kila nikikata tiketi najikuta nashuka nje ya kituo na kwenda kutafuta usafiri mwingine. Tatizo la hawa watu walivyolemazwa na ujamaa, huwa hawaambiliki.
Nyie ndio mlipaswa kujiuliza hao watalam wenu walio kuwa wanaishauri serikali yenu kupaka rangi pale thika na kuandika brt ndio memaliza sasa mnayo brt [emoji23][emoji23][emoji23] pasipo kujua BRT ni mfumo mzimaSio jukumu langu kuwaambia mnakwama wapi, inapaswa "wataalam" wenu kama mnao, wafanye utafiti kwanini huo mradi unawatesa watu badala ya kutoa huduma ipasavyo. Tatizo kila "mtaalam" kwenu sasa hivi anaimba mapambio ya misifa na kuchumia tumbo, hakuna anayetaka kuieleza kama ilivyo.
Kenya, DRC,Zambia na Zanzibar 😁Kwani wapi pengine ulimwenguni kuna kiswahili ukiondoa Tanzania?
Failure kwa sababu demand ni kubwa kuliko uwezo wa aliyepewa tender ni mmoja ..kwa hiyo cha kujifunza hapo nairobi ni mjaze migari lundo na wawe supplier tofauti walau wawili per route ili kuleta ushindani na ubora wa huduma ...... Hapa Dsm serikali imekuwa wazito kiruhusu supplier mwingine aingie na wameshikilia mibasi kibao bandarin coz aupplier wa kwanza hajalipa ushuruWe have been told many times that Dar BRT is a success story. But is that really the case? According to people who actually use it, the BRT is a failure that requires complete overhaul.
The buses and stations are crowded more than an Indian train station. Travellers are worried of contracting TB.
The waiting times are extraordinarily long. Paper ticketing no longer works.
As Nairobi prepares to launch its own brt on several corridors, how can we prevent the mistakes of Dar?
This is a report by ITV.
As expected, it has performed very poorly on YouTube with only 300 views. Nafikiri ni kwasababu sio video ya kuimba sifa za rais dokta John Pombe Magufuli, na serikali ya awamu ya tano.
Unaonekana hata unacho zungumza hukijui....kwani BRT iliondoa daladala? Kama kuna usafir watu wanaupenda na unatumiwa sana ni BRT ilo kusanyiko ni jibu tosha ....hakuna mfumo mpya usio na changamoto zake...nyie pambaneni na matatu zenu
hivi unajua mchana gari hukosa abiria mpaka zipaki.Failure kwa sababu demand ni kubwa kuliko uwezo wa aliyepewa tender ni mmoja ..kwa hiyo cha kujifunza hapo nairobi ni mjaze migari lundo na wawe supplier tofauti walau wawili per route ili kuleta ushindani na ubora wa huduma ...... Hapa Dsm serikali imekuwa wazito kiruhusu supplier mwingine aingie na wameshikilia mibasi kibao bandarin coz aupplier wa kwanza hajalipa ushuru
unaleta video ina mwaka kwenye mada ya leo, wakati tatizo liliishatatuliwa.Wewe utakua umeganda kijijini haujui nini kinaongelewa kwenye huu mradi.......waulize kama una ndugu wanaotumia huo usafiri kila siku, mimi nazungumza kuhusu kero nilizoshuhudia na sio mara moja, yaani kila nikitaka kuyatumia.
Unaonekan hujui kitu zaid ya blabla nyingi ....tatizo lilikuw kimara sabab ya kuanzishwa kwa express huduma , unakuta bas linatoka kimara brake ni kivukoni au Kariakoo ...ina vuka abiria hapa katikat ...sasa hili mbona lilisha fanyiw kazi mda sana ....km nilivy kwambia new system come with its issues.....so tuliza kendeWewe utakua umeganda kijijini haujui nini kinaongelewa kwenye huu mradi.......waulize kama una ndugu wanaotumia huo usafiri kila siku, mimi nazungumza kuhusu kero nilizoshuhudia na sio mara moja, yaani kila nikitaka kuyatumia.
KenyaKwani wapi pengine ulimwenguni kuna kiswahili ukiondoa Tanzania?
Chief kama ni mkazi wa dsm nq unapanda Brt hupaswi kutetea udhaifu waohivi unajua mchana gari hukosa abiria mpaka zipaki.
jioni si BRT tu, hata daladala huzidiwa na wingu wa abiria, kama muwekezaji ameona fulsa achukue huoko kwenye daladala.
Hii kiswAhili ya Dar huwa funny sana,Wewe utakua umeganda kijijini haujui nini kinaongelewa kwenye huu mradi.......waulize kama una ndugu wanaotumia huo usafiri kila siku, mimi nazungumza kuhusu kero nilizoshuhudia na sio mara moja, yaani kila nikitaka kuyatumia.
Hiyo BRT ni mradi ulioangukia pua, mamia ya Watanzania wengi huomba zirejeshwe daladala za kawaida, niliwahi kujaribu kuitumia mara kadhaa ila kila nikikata tiketi najikuta nashuka nje ya kituo na kwenda kutafuta usafiri mwingine. Tatizo la hawa watu walivyolemazwa na ujamaa, huwa hawaambiliki.
unaleta video ina mwaka kwenye mada ya leo, wakati tatizo liliishatatuliwa.
unaweka rehani malinda yako falla wewe.
We jamaa sijui huwa unawaza na nini.husemi sababu ya kueleweka kwanini brt imefeli wakati zinaendelea kutoa huduma kama kawaida.
Unaonekan hujui kitu zaid ya blabla nyingi ....tatizo lilikuw kimara sabab ya kuanzishwa kwa express huduma , unakuta bas linatoka kimara brake ni kivukoni au Kariakoo ...ina vuka abiria hapa katikat ...sasa hili mbona lilisha fanyiw kazi mda sana ....km nilivy kwambia new system come with its issues.....so tuliza kende
hata january 2020,ni 2020 hiyo hiyo.Mbona video za 2020 zipo, halafu hadi leo mnauita mradi mpya ilhali wenyewe upo tangu enzi za Kikwete, mumeshindwa kuuboresha ni full kero, Waafrika bana.