Dar es Salaam City in Photos

Safi sana, halafu msongamano wa watu ilikuwa hakuna kabisa!!! Mabasi yetu yale unakumbuka tunapanda kwa mstari, kwa ustaarabu kabisa!!! Aise leo hii tunapitia madirishani, tena hatuwezi vijana wanatupiga vikumbo!!!
huwa kama mbagala najiuliza huwa watu ni wengi halafu daladala chache,kila siku lazima vikumbo
 
Hazivutii hata kidogo...! They look nasty halafu camera pixels zake ndogo haifai kupigia picha kama hizi
 
picture quality very low,may be taken from low pixels device. Pia rekebisha tarehe. BRT Bus stops were not there in 2010!
 
Mwambie 'mpiga picha' arekebishe tarehe na saa kwenye camera yake....
Hiyo picha ya pili sio picha ya mwaka 2010.....!!

Mkuu naona "Map reading and photograph interpretation" inafanya kazi!!! bravo kwa matumizi mazuri ya elimu ya jiografia!!
 
hilo tangazo la airtel shinda nyumba kwenye picha ya tatu manzese darajani halikuwepo mwaka 2010 halafu pia plate number zilikuwa hazijafika C na bila shaka mradi wa BRT ulikuwa bado...
hivyo mpiga picha hiyo kamera yako ni namna gani
 
REPOST cause photobucket got busted ! 🙂










 
wow what a nice city,but i must say it comes second after Nairobi in this region.
 
I cant wait coming over there.By the way which is the best place to visit in Dar?
Best restaurants in town, superb beaches in the southern and northen parts of Dar es salaam, and the night life is amazing! Downtown has top notch restaurants with killer view of the city, Eg Akemi revolving restaurant, rapsodys at viva tower, samaki samaki and dont forget capetwon fish market outside the city, if you wish to go loval, then Dar probably the best place to enjoy local swahili food!
 





^^ SITE FOR MZIZIMA TOWERS 35+33 FLS












 
chawachawa ntacome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…