Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
naombeni kuuliza, hapa picha mnapost vipi? mbona mi kila nikipost kanaonekana kadogo? msaada kwenye tuta jamani:help:
NDINDA...it has been long bro. Sasa naona umeshakuwa mtaalam wa kutuwekea mapicha mbali mbali.
In any case DAR has evolved. Mabasi ya mwendo kasi na sasa flyover za Tazara na Ubungo....hakika zitalibadilisha jiji. Kwa wenye akili sasa ni wakati muafaka wa kujitanua nje ya mji na kutafuta makazi..wakati bado viwanja vinanunulika. Maana kwa netowrk ya usafiri kila sehemu inafikika. Mfano kwa sasa mkazi wa Kimara anasafiri kwenda mjini more comfortably kuliko wa Mbezi Beach na kwingineko..kwa sababu ya mwendokasi.
Upcoming Kijitonyama District
The view from 9TH Floor IT Plaza
The view from 9TH Floor IT Plaza
The view from 9TH Floor IT Plaza
DARCH - Dar Center for Architectural Herutage
Untitled
Dar es salaam City