Dar es Salaam City in Photos

Dar es Salaam City in Photos

DSC02054.jpg
Photo from jijiladar.blogspot.com
 
Uhuru Heights has a very unique nice name...it will enjoy the status for being tallest for short time.
 
èđđeůx;84226309 said:
Dar es Salaam, Tanzania
48299164.jpg


Dar es Salaam is a booming city, it's the largest in Tanzania and serves as the country's commercial center and was its former capital...

Viva Tower
Floors: 21
Status: U/C
Official Thread: DAR ES SALAAM | Viva Tower | 21 fl | U/C - SkyscraperCity

DSC03019.jpg


DSC02011.jpg


---------------------------------

PSPF Towers
Floors: 35
Status: U/C
Official Thread: DAR ES SALAAM | PSPF Commercial Towers | 35 fl x2 | U/C - SkyscraperCity
DSC03096.jpg

13-6.jpg


----------------------------------

PSPF House
Floors: 14 floors (HQ), 24 floors (Hotel & Apartments)
Status: U/C
Official Thread:DAR ES SALAAM | PSPF House | U/C - SkyscraperCity
7-15.jpg

14-6.jpg


----------------------------------------------------

IT Plaza
Floors: 13
Status: U/C
Official Thread: DAR ES SALAAM | IT Plaza | 13 fl | U/C - SkyscraperCity
DSC03386.jpg


7-14.jpg


---------------------------

Tanhouse Tower
Floors: 14
Status: U/C
Official Thread: DAR ES SALAAM | Tan House | 14 fl | Proposed - SkyscraperCity
Tan-House-Side-View-from-Bagamoyo-Road.jpg


-------------------------------

Elite Tower
Floors: 13
Status: U/C
Official Thread: DAR ES SALAAM | Elite Tower | 13 fl | U/C - SkyscraperCity
16-6.jpg


------------------------------------

Fakyat Tower
Floors: 14
Status: Proposed
Official Thread: DAR ES SALAAM | Fakyat Tower - SkyscraperCity
Untitled.png


-----------------

Maritime Institute Tower
Floors: Unknown
Status: Proposed
Official Thread: DAR ES SALAAM | Maritime Institute Tower | Proposed - SkyscraperCity
1-37.jpg


--------------------

Diamond Plaza
Floors: 8
Status: U/C
Official Thread: DAR ES SALAAM | Diamond Plaza | 8 fl | U/C - SkyscraperCity
Photo0041.jpg


----------------------

Samora Tower
Floors: 19
Status: U/C
Official Thread: DAR ES SALAAM | Samora Tower | 19 fl | U/C - SkyscraperCity
nccbuilding.jpg


8-11.jpg


-----------

Julius Nyerere Convention Center
Status: U/C
Official Thread:
IMG_9447.jpg


IMG_0472.jpg
 
4493676979_f15f9d7918_z.jpg

01. Dar es Salaam City Centre by stuart.hutchinson, on Flickr

4083122764_0ef1b98d25_b.jpg



DSC00382.jpg



5123175066_3ce432b95e_b.jpg


dartza.jpg


48299164.jpg




jiji la bongo linakua kwa kasi ni miongoni ma majiji 10 yanayokua kwa kasi duniani, bongo ni ya 9,
je unashauri nini kifanyike kuepuka matatizo ya urbanization?

The tables provide assumed annual growth rates for cities and urban areas between 2006 and 2020. The assumptions are based on past growth/decline and forecasts by international and national statistics organisations.


City Mayors: World's fastest growing urban areas (1)


libeneke la taswira on tanzanian forum Photographer's Corner - SkyscraperCity

Bongo hii ninayoijua mimi ama ni bongo ya kichina! Mh umeniacha hoi kuwa ni jiji la tisa duniani kwa kukukua kwa haraka, Jiji lenyewe mipango hamna maghorofa yanachipuka tu kama uyoga!
 
Bongo hii ninayoijua mimi ama ni bongo ya kichina! Mh umeniacha hoi kuwa ni jiji la tisa duniani kwa kukukua kwa haraka, Jiji lenyewe mipango hamna maghorofa yanachipuka tu kama uyoga!

mkuu sasa mimi nimekuacha hoi au we mwenyewe ndio unajiacha hoi, unafikiri hizo data numetengeneza mimi, umepita pita tuu kwneye thread hata hujasoma vizuri unaibukia conclusion, du si mchezo, yaani hata lini amabyo ndio dta zinatoka hujaiona?
ngoja nikuwekee vizuri http://www.citymayors.com/statistics/urban_growth1.html bonyeza hapo penye rangi nyekundu
 
Bongoyo Island
Bongoyo Island (or simply Bongoyo) is an uninhabited island in Tanzania, situated 2.5km north of the country's largest city, Dar es Salaam. It is the most frequently visited of the four islands of the Dar es Salaam Marine Reserve (DMRS).
The island lies close to the Msasani Peninsula (in the Kinondoni district of the city) and is reachable by means of only a 30 minute boat ride from the mainland. The point of departure for most visitors to the island is 'The Slipways' hotel complex on the western side of the Msasani Peninsula.
It is therefore a popular daytrip for both tourists and Tanzanian residents alike, serving as a location for a variety of leisure activities, including snorkelling and sunbathing.



Flickr 上 sfxdonutz 的未命名相片


Flickr 上 sfxdonutz 的未命名相片


Flickr 上 sfxdonutz 的 Bongoyo Island

Flickr 上 sfxdonutz 的 Beautiful day!


Flickr 上 sfxdonutz 的 Bongoyo Island

Flickr 上 sfxdonutz 的 Bongoyo Island


Flickr 上 sfxdonutz 的 Fishing
 
Dar es Salaam...
 

Attachments

  • Fukwe.jpg
    Fukwe.jpg
    936.4 KB · Views: 95
  • Kivuko.jpg
    Kivuko.jpg
    932.5 KB · Views: 108
NINAPOITAZAMA TANZANIA YANGU, NAPATA MASWALI MAGUMU SANA!

Hivi unategemea nini kwa jiji kama Dar es Salaam, lenye miundombinu ile ile aliyoacha Nyerere hata kama tutaongeza magorofa jiji zima?????

1. Kama umeme wa kariakoo ulipimwa kusambazwa kwa nyumba mia moja...sasa hivi kuna magorofa labda mfano kumi na kila ghorofa lina vyumba 20...unategemea nini kuhusu huo umeme? we jaribu kuwauliza hao wanaojenga maghorofa hivi wanategemea kuvuta umeme huu huu au kuongezewa gridi yao??? is that how you call planning?

2. Kama kampuni ya maji inasambaza lita zile zile za maji tangu ukoloni...na magorofa yanaongezeka...wategemea nini? we fikiria drainage system ya magorofa yanayojengwa huko posta itakuaje? na wanategemea maji kwa kuchimba visima au dawasa???

3. Angalia barabara ya kariakoo iko tangu enzi za mkoloni hadi leo...no 'update'??

Poor Tanzania!
 
NINAPOITAZAMA TANZANIA YANGU, NAPATA MASWALI MAGUMU SANA!

Hivi unategemea nini kwa jiji kama Dar es Salaam, lenye miundombinu ile ile aliyoacha Nyerere hata kama tutaongeza magorofa jiji zima?????

1. Kama umeme wa kariakoo ulipimwa kusambazwa kwa nyumba mia moja...sasa hivi kuna magorofa labda mfano kumi na kila ghorofa lina vyumba 20...unategemea nini kuhusu huo umeme? we jaribu kuwauliza hao wanaojenga maghorofa hivi wanategemea kuvuta umeme huu huu au kuongezewa gridi yao??? is that how you call planning?

2. Kama kampuni ya maji inasambaza lita zile zile za maji tangu ukoloni...na magorofa yanaongezeka...wategemea nini? we fikiria drainage system ya magorofa yanayojengwa huko posta itakuaje? na wanategemea maji kwa kuchimba visima au dawasa???

3. Angalia barabara ya kariakoo iko tangu enzi za mkoloni hadi leo...no 'update'??

Poor Tanzania!

Mkuu bongo ovyo, ndio maana huwa tunajiuliza, hivi hao wanaojiita city council, mayors na wabunge wa dar pia huwa wanajaribu hata kutjitokeza mbele za watui na kusema sisi ni viongozi wa dar? angalia picha ya dar kutokea juu, kwa watu wenye akili ukubwa wa dar na pamoja na idadai ya watu wake kule uwanja wa ndege, tabata, mbezi hadi huko kibamba, ilitakiwa bado iwe msitu kabisaa, lakini watu walivyo ovyo kwa mipango, hayo maeneo yote yameharibiwa ni vurugu tupu, hata kama ukajenga nyumba nzuri ya kifahari huko, jiandae baada ya miaka mitatu minne hapatakuwa tofauti na mchikichini, kwa kuwa mtu ananunua kiwanja cha kuweza kujenga nyumba moja, halafu yeye atakigawa mpaka zitapatikana nyumba hata kumi, sasa hapo unategemea nini hata kama wamepima viwanja vizuri? eneo la ilala, vingunguti , tabata bima, lingeweza kujengwa nymba ambazo zitawakusanya watu wengi katika eneo moja, na kuwahudumia kwa mahitaji yote, usafiri, maji, posta umeme, nk, hivyo lingecontrol watu kusambaa hadi huko gongolamboto, mchikichini, magomeni, likijengwa na kupangwa vizuri linaweza kufyonza watu wote waliosambaa hadi huko mwenge na maeneo mengine, nyumba za kawaida au ngorofa kadhaa kila moja yenye uwezo wa kuwa hata na units 50 au hata 30, zingeweza kutumia vizuri maliasili ya ardhi tuliyonayo na hata hatungekuwa na hii migogoro, keko , kurasini ingefyonza watu wote hata mbagala sasa hivi ingekua bado pori, akini sasa hivi nenda mbagala ukiangalia watu wanavyosambaa ni aibu, itakua kasheshe katika kuwahudumia watu hawa, na hata kuwapatia ulinzi itakua kazi, ardhi ya dar inachezewa tuu, na aibu kwa hao wanaojiita wazee wa jiji, wanachezea nchi yetu, na kutuaibisha tuu, dar katikati bado kupo empty sana, wakiweka miundombinu inayostahili ya maji safi na taka na kupanua barabara kidogo au kulimit idadi ya magari yanayoingia kule bado kuan uweza wa kujenga majengo mengo tuuu hata ya ghorofa 70 pale katikakti ya jiji, jengo la posta mpya ni uchafu tuu ule pale, wavunje wajenge jengo refu, pale ni uso wa jiji ladar na niuso wa tanzania kwani ni jiji kubwa na ni center ya kila kitu, uchumi utamaduni nk, sasa kama pale kupo vile kwingine si aibu tuu, kiapnde cha ardhi kutoka ferry soko la samaki mpka kwney kituo cha boti za zanzibar pia wamechezea, hilo eneo linaweza kupanuliwa zikajengwa barabara pana na kuhamisha misongamano katikati ya babarabara za mji na wanaweza kujenga maeneo mazuri ya kupumzikia watu, hebu angalia watu wa dar wana eneo gani la public la kupumzikia? manazi mmoja ndio kufuli kila siku, hilo eneo lingepiwa marumaru na maeneo ya nyasi yakao machache pembeni pamoja na miti na maua, lakini wakiacha vile na majani watu watapitapita na majani yatakanywagwa na kuacha njia nyingi kama za panya, halafyu vumbi pia, kudadadeki, bongo bado, labda kwa sababu nchi yetu ni masikini, inaona haiwezi kufanyia dar mambo hayao wakati watu wengine nchini hawana hata hospitali, au hata madarasa, kuna chuo cha ardhi tanzania, sijui wanasoma nini? au bado hawajafundihwa chochote kuhusu urbanization, najua wenzetu mambo ya urbanization yalianza mika ya nyuma kule, hata wa uchumi hakuna anayesoma urban economy? wa utalii je? hivi bongo si tunasomaga kujibu maswali tuu ya mtihani? kuaply f, au ndio tuna matatizo gani?BTW, ingekuwa vizuri ukikutana na anayehusika na mambo haya , mfano meyor, kuna meya wa ilala ni kijanaaaa, na ana furaha muda wote, city council, wenyewe business wanayoiweza ni kunyanganyana maandazi na vitunguu kariakoo, wenyewe hiyo ndio wanaona ni kore business yao, kudadadeki, unaweza kukasirika mpka ukalipuka, na hakuna kinachifanyika, kwa huyo twigwa mzembe tanesco, at least kuna kitu kinafanyika, jiji sina uhakika, nina hamu ya kujua pia
 
Jamani waugwana kwani Dar ni mitaa ya posta tu? mbona tanadale kwatumbo picha zake sizioni? achani upendeleo waugwana, Jiji hata Tandale kwamfuga mbwa ni sehemu ya Jiji letu , angalia Kwenye kipindi chetu cha jiji letu kila kona wanatowa picha Husika.
 
Back
Top Bottom