Dar es Salaam City in Photos

Dar es Salaam City in Photos

DAR ES SALAAM
Flickr: Clark Photog's Photostream
672A547D540D2_zpsd04e6a7e.jpg


dar_zps2767f609.jpg
 
Kazi ipo. Nadhani wangekaa na kupanga na kufuatilia kwa umakini mipango miji, inaonekana kasi ya upimaji ni ndogo kuliko kasi ya wananchi kujenga thats mean kwamba wananchi wanatafuta ardhi ya kujenga kwa kasi zaidi ya serikali inavyopima viwanja. Na wakipima ufisadi unakuwa mwingi utakuta 80% ya viwanja vimenunuliwa na vigogo/wafanyabiashara tayari kwa kuwalangua watu hali ya chini hatuwezi kufika namna hii. Tutauziana vile vyetu ambavyo havijapimwa then tunajenga vibanda vyetu vya uswahilini kama unavyojua bila ramani unawelekeza fundi tu chimba hapa, toboa hapa, ziba hapa then nyumba inatokea.
 
There are many types of detectors in the market, so it is really hard to make a decision which one to buy and whee to buy. I searched the internet for a long time and then I bought a gold metal detector, which is really helpful. And when I do metal detecting outside it can really distinguish what kind of the metal that it has detected and give an indication for me. And by using such kind of device I have saved a lot of time and energy. In a word, I love the gold metal detector and have confidence in it.
 
Bonge la jiji! PSPF tower imefikiwa ghorofa ya ngapi?
:target:
 
Mkuu Full Moon, nakushukuru sana kwa taarifa:
:target:

:target:"to be a man is not a day's job"
 
ni vema sasa mamlaka zinazohusika zikaelekeza nguvu ya kuanzisha satellite towns pembezoni mwa jiji kuliko kung'ang'ania kuangusha maghorofa katikati ya jiji sehemu ambazo miundo mbinu ni mibovu kama vile barabara nyembamba, hakuna parking za kutosha, mifereji ya maji machafu inayoziba mara kwa mara n.k.Hizi satellite towns zitakuwa planned well kimiundombinu kulingana na hali halisi ya sasa na pengine hata ya miaka karibu hamsini ijayo.Hii pia itapunguza mlolongo wa watu wengi kufuata huduma katikati ya jiji kwa sababu miji hii mipya ya pembeni angalau itakuwa na maofisi mengi ya serikali, mashirika ya umma, biashara,elimu n.k.mfano mzuri ni mpango wa kuanzisha mji mpya wa kigamboni ingawa nao uanzishwaji wake umejaa changamoto nyingi.:target:
 
KAMPUNI YA SIMBA COACHES YAINGIZA MABASI MAPYA YATAKAYOKUWA YANABEBA ABIRIA 100

Mkurugenzi wa Simba Coaches Azim Dewji ameingiza mabasi 100 yatakayokuwa yanabeba Abiria zaidi ya 100 ambayo yatasaidia kupunguza foleni jijini Dar es Salam.Akizungumza na Wandishi wa Niccomedia TZ ofisini jijini alisema kuwa mabasi hayo pia yatakuwa yanauzwa kwa bei nafuu na Kampuni ya Simba iliyopo barabara ya Mandela maeneo ya Matumbi jijini Dar es Salaam.
IMG_2905_zps60e45fe6.jpg



KWA NDANI

IMG_2906-1_zpsb36305dd.jpg
 
Back
Top Bottom