Dar es Salaam City in Photos

Dar es Salaam City in Photos

Hapa umelonga kaka, mimi nilikuwa NAIROBI juzi tu na niliingiwa na wivu sana. Yaani tuna viongozi maboga kabisa
Tatizo la Dar es salaam viongozi wanaangalia ni wapi watapiga ela nao wajenge majengo yao holela, hakuna anayefikiria miundo mbinu kabisa.
 
Foleni za jiji hili zinaletwa na Junctions...mfano Ubungo, Tazara, Mwenge, magomeni etc, hata tukipanua barabara zikawa sitasita haitasaidia kama tutaendelea kutegemea mataa na trafic police kuongoza magari kwenye junctions... we need flyovers kuondoa foleni...unaweza kukaa dk45 unasubiri kuvuka mataa ya ubungo kama unatokea mwenge kwenda mabibo...hakika naichukia junction ya ubungo...
 
DAR ES SALAAM

Photo by barrthabeet • Instagram

484b78fece2911e2950f22000a1ddb60_7.jpg
 
View attachment 27394
angalia hiyo majengo mengi yanazidi kujengwa, vipo huko chini, barabara na sewage system, pia mradi wa mabasi yaendayo kasi unaendeleaje kwa aliye na data, asante

Ni kweli kabisa jiji linakua kwa kasi ila huko tunakokwenda itakua ni vigumu saana kuwa na maendeleo na hasa katikati ya jiji ipo mifano mingi saana na hata wenzangu wameitaja ila bila kuifafanua zaidi na kuitolea maoni, ukiangalia usafiri ni bado ule wakizamani saana Enzi za UDA, sewage system na barabara ni zilezile toka Enzi za mkoloni, mfumo wa maji umeshazeeka sana, Maoni yangu ili kupunguza msongamano wa magari ni kuhamisha wizara zoote ziwe nje ya jiji kwa maana hiyo lianzishe jiji jipya (New city) ambalo litajengwa kisasa na hii Dar ya sasa iwe old Dar city hapo tunaweza kupanga jiji letu jipya kama tutakavyopenda lakini kwa ndoto tulizonazo za kusema tujitahidi kurekebisha miundo mbinu ni kazi bure na badala yake itakua ni miundo mbiina
 
Ni kweli pia ni kati ya majiji unplanned,nashauri ingefaa wangeunganisha Bagamoyo,kibaha na sehemu ya morogoro na sehemu ya tanga then utengenezwe satellite city(jiji la kisasa ambalo ni planned),halafu zihamishwe wizara zote zihamishiwe huko kwani ni dhahiri KUHAMIA DODOMA nadhani imekuwa ngumu.
NB; mfano mzuri Nigeria walihamisha mji mkuu toka LAGOS hadi ABUJA.

sio ngumu bali baadhi ya watawala wanawwaza kwenda beach tu bila kufikiri maendeleo
 
DAR ES SALAAM from delaraystki instagram










 
mengi hapo hayana viwango siku ya siku yatakuja kuangukiana hata sehemu yakupita kwenda kusaidia waliokwama itakuwa hakuna
 
Yaani hakuna hata moja la mtu wa ukoo wangu analimiliki umaskini ni mmbaya sana ila nitajitahidi kuchakachuwa
:smile-big:
 
FROM HYATT REGENCY DAR ES SALAAM
eafb40d8d9ba11e2b4ef22000a1fbd4d_7.jpg

bf126e109fcc11e283f722000a1fbd91_7.jpg


5c3bfe009ba811e28ce622000a9f13a7_7.jpg

0e4e55b2feb811e2892d22000a1fb82c_7.jpg


a713a42a69cf11e180c9123138016265_7.jpg

954e2650791611e2a38422000a1f96a9_7.jpg

509492a4693311e1a87612313804ec91_7.jpg

d0ba5012281f11e2b3af22000a1fb856_7.jpg


13fe1764003811e397fd22000ae912c9_7.jpg

d94ae4c8c52511e2a61522000aaa053e_7.jpg


a9779d6cfec911e29c3022000a1fb14d_7.jpg

4f8f206849b611e28e5722000a9f195f_7.jpg

f4b1a5a6a60511e2952122000a1fbf2e_7.jpg
 
Back
Top Bottom