Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
From mbeya city Tz na Namibia sio mbali kivile watz wengi tunakuka hapa kwa bas tu , pia kwa mtz ni visa free tu kufika na kuishi hapa , watz tu enjoy sana hapa Windhoek na Walvis bay ,brooWe jamaa nashuku uko juu ya miraa saa hii. Stimu za miraa ndio zinakudanganya eti uko windhoek
Lugha gani unatumia kuzungumza huko?From mbeya city Tz na Namibia sio mbali kivile watz wengi tunakuka hapa kwa bas tu , pia kwa mtz ni visa free tu kufika na kuishi hapa , watz tu enjoy sana hapa Windhoek na Walvis bay ,broo
Ushahidi wa nini bro kutoka mbeya Tz mbaka hapa unakuja kwa bus tu with visa free if you are Tanzanian come to enjoy this beautiful country toka huko shimo la tewaHalafu misifa yote huwa unatajataja miji ya watu lakini hakuna hata siku moja ushaweka ushahidi WA picha kuonyesha kweli uko huko
Yapo slums zipo lakin haxipo cbd siyo kama Keko na tandale brooAfricaTongashili, Freedomland, Goreangab, Okahandja Park, Okuryangava, hizi ni slums kubwa Windhoek
Ushahidi wa nini bro kutoka mbeya Tz mbaka hapa unakuja kwa bus tu with visa free if you are Tanzanian come to enjoy this beautiful country toka huko shimo la tewa
Umewahi kutumia cha Arusha ?Ndio zishakua zako, mara Brazil....ila hamna siku hata moja umeweka picha, ukishapiga cha Arusha hapo kwenye mabanda ya Tandale unaingia Jamii Forums na kuibukia Brazil.
Umewahi kutumia cha Arusha ?
unamsaidiaje ili asiwe addicted ?Sijawahi lakini nafahamu huwa hakiachi mtu salama, huyu juzi alikua Brazil, leo ameibukia Namibia.
Hizo ni slums haswa, sababu 78% ya hizo ni nylon slums and corrugated iron sheetsYapo slums zipo lakin haxipo cbd siyo kama Keko na tandale broo