Dar es Salaam: Hali ya mazingira Soko la Kawe siyo nzuri kwa afya za watumiaji na wakazi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607



Kutokana na mvua kuendelea kunyesha mara kwa mara Jijini Dar es Salaam hali ya usafi katika Soko la Kawe imekuwa siyo nzuri, mazingira haya yanatajwa kuwa sio salama kwa watumiaji sokoni hapo na wakazi wa maeneo ya Kawe.

Soko hilo lipo katika Jimbo la Kawe ambalo Mbunge wake ni Joseph Gwajima licha ya ushuru kukusanywa sokoni hapo lakini lipo hatarini kusababisha magonjwa ya mlipuko.

Picha hizi vimepigwa jana Aprili 30, 2022


 
Sawa hili jambo la usafi wa masoko litashughulikiwa na serikali ya mtaa huku juu tunashughuli nzito ya kitaifa uzinduzi wa royal tour kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…