Dar es Salaam here I come naomba mnipokee waugwana!

ukifika pale chalinze uninunulie korosho na chanuo!
Nimeamua ni kodishe boda boda...siunajua tena foleni kuanzia hapa mawasiliano hadi ubungu inasumbua jioni.

Maalim Noamba nitabirie ila mambo mazuri tu
 
Maalim Noamba nitabirie ila mambo mazuri tu

Umechelewa member!
siku nyingine unauliza kabla ya safari yako.
Hata hivyo nambie ni ipi nyota yako?
Hivi NJ ulisoma matukio yako ya mwaka huu?
Ingekusaidia zaidi.
 
Huna lolote wewe,nimekupa number kupiga pia umeona ntafaidi haya bwana.

Namba uliyonipa nikipiga inaniambia haijapewa mteja "tafadhali iangalie vizuri kisha upige tena" nadhani digit moja ulisahau kuiiandika!
 
Nimependa sana jinsi ulivyo pangilia mawazo yako hakika kushukuru ni jambo jema.
 
Hilo nalo neno...)Aani nilivyochoka natamani ningekaribishwa na kungekuwa na members wakike walioteuliwa makhsusi kwa ajili ya kunifanyia massage.

Kwani akiwa wakiume kutakua tatizo?
Yupo jamaa yangu wa kiume anaiweza hiyo kazi ya massage!
Nipe namba zako nimpe muwasiliane nae! Au nikupe namba zake?
 
Kwani akiwa wakiume kutakua tatizo?
Yupo jamaa yangu wa kiume anaiweza hiyo kazi ya massage!
Nipe namba zako nimpe muwasiliane nae! Au nikupe namba zake?
Hili nalo nenooo,toa namba kaka upate massage:laugh:
 
Kwani akiwa wakiume kutakua tatizo?
Yupo jamaa yangu wa kiume anaiweza hiyo kazi ya massage!
Nipe namba zako nimpe muwasiliane nae! Au nikupe namba zake?

Napenda mwili wangu uguswe na jinsia tofauti na mie maana kwenye massage sometimes kunakuwa na mitekenyo na ndio maana hata wakina dada "wanasuguliwa" miguu na kina kaka kuna siku nimekuta mwanamke pale CBE pub anasuguliwa miguu anatekenyeka mpaka raha sijui kama hajaji....................
 
Hili nalo nenooo,toa namba kaka upate massage:laugh:

Hapo itakuwa ngumu sana shosti ukizingatia mikono ya kiume ina sugu badala ya kupata relaxation na sensation nitapata mikwaruzo ya sugu.
 
Ukifika majani mapana,kabla ya mizani,angalia kulia kuna nyumba yangu ndogo inajengwa,iangalie vizuri kisha ulete ripoti naona mafundi wananchanganya. Utaiöna inajengwa kwa tofali nyeusi,usisahau.
 
Hapo itakuwa ngumu sana shosti ukizingatia mikono ya kiume ina sugu badala ya kupata relaxation na sensation nitapata mikwaruzo ya sugu.

Hahahahahahaaaa,sio yote kuna mingine lainiiiiiii,acha woga toa namba hiyo ukatolewe uchovu wa safari.
 
Baada ya hapo usisihau kupita kijijini kwetu
Karibu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…