Dar es Salaam here I come naomba mnipokee waugwana!

teh
karibu
safar salama
ukifika salama sema.......:shock:!!!!!
 

UNAKUJA NYUMBANI AU UGENINI??

Karibu Basi
 
Pale miembeni karibu na transit? ipo inafanya kazi bado wajanja asubuhi wanapeleka pesa bank wajinga wanapeleka mikojo chooni
Hahaha hao wajinga ndo wanailipa serikali hata ikaweza kununua dawa za wagonjwa!
 
Hahaha hao wajinga ndo wanailipa serikali hata ikaweza kununua dawa za wagonjwa!

Una maana walevi? kama ndio sishangai na ndo maana Serikali kila mwaka wanawaongezea kodi kwenye vileo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…