Dar es Salaam imeitika na Tanzania imesimama, Mageti yafunguliwe isije kuleta maafa mengine

Dar es Salaam imeitika na Tanzania imesimama, Mageti yafunguliwe isije kuleta maafa mengine

Ninachokishuhudia hapa benjamini mkapa ni rekodi ya aina yake kwa nyomi ya mashabiki waliojazana hapa, na bado barabara ziko bize uelekeo ni benjamini mkapa, hakika ni mechi ya kihistoria,
Serikali walipaswa kufungua mageti kuanzia saa 2 asubuhi ili kuepusha maafa yanayoweza kutokea hapa, watu ni wengi sana kila mmoja akitaka kuweka historia ya kushuhudia fainali ya kwanza ya kombe la shirikisho barani Afrika, hii hali iliyopo hapa sio nzuri kuendelea kuwaweka mashabiki nje ya mageti mpaka sasa na watu wanazidi kuongezeka,
Taasisi zinazohusika zifanyie kazi hii kitu haraka kuepusha maafa hii aijawai kutokea tokea nimeanza kushuhudia mechi za kimataifa hapa Tanzania
afu mwarabu apone,wakati lupaso ishakuwa anfield mapema tu
 
Alafu msukuma akidharau wasomi tunamnanga, yani hii nchi hakuna kwenye afadhali, suala la kuweka mpangilio mzuri lilitakiwa liwe limeshajadiliwa na Uongozi wa Yanga, TFF, na wilaya ya temeke, ila kama hamna hata mmoja alieliona hilo swala wanasubiri muda uende wakijua kabisa kuna maafa huwa yameshatokea kama hao niliowataja hapo juu sio hawatumii bongo zao vizuri maana yake ni nini.
Tunapenda misongamano ili ionekane vibe kumbe ni udwanzi tu
 
Naangalia kipindi cha Sports AM kinachorushwa na Azam Sports 1,
anahojiwa Rais wa TFF Karia kuhusiana na kuchelewa kufunguliwa mageti ya
uwanja wa Benjamin Mkapa, ambapo watu ni wengi sana na wapo nje kiasi
amani inaanza kuvurugika.

Rais anajibu kwamba yeye hausiki na suala hilo na lipo chini ya maafisa wa
CAF na afisa wa TFF anayeshirikiana nao watu wa CAF, kwa hiyo yeye hajui chochote
walichokubaliana wala walichopanga.

Majibu haya kwa mtu anayesimamia chombo cha mpira si sahihi. Hata kama yeye hayupo
kwenye hiyo kamati ya usimamizi anawajibu wa kujua walichopanga, hata kushauri.

Kwamba unaona kabisa kuna hali ya mvurugiko nawe kama kiongozi wa Mpira unasema huusiki.
Kwa hiyo unasubiri mambo yaharibike kisha zigo wapewe wengine.

Tanzania imetia nia ya kuandaa michuano ya mataifa ya Afrika, sasa kama mechi ya fainali
Rais anajitoa na wala haoneshi kutaka kutatua tatizo kweli tunaweza kupewa hiyo nafasi?

Viongozi wetu hupenda kujiweka mbele kwenye mafanikio hata kama sio yao, lakini
panapotokea changamoto wajifanya kutohusika.
Yani kwa kweli amekosea sn, yy alitakiwa awasiliane na hao wanaohusika. Hlf pia hakutoa majibu mazur kbs kbs ni km alimdharau mtangazaji
 
𝙺𝚒𝚕𝚊 𝚕𝚊 𝚑𝚎𝚛𝚒 𝚈𝚊𝚗𝚐𝚊, 𝚝𝚞𝚗𝚊𝚘𝚖𝚋𝚎𝚊 𝚔𝚞𝚜𝚒𝚠𝚎 𝚗𝚊 𝚊𝚝𝚑𝚊𝚛𝚒 𝚣𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚞 𝚔𝚞𝚞𝚖𝚒𝚊
 
Naangalia kipindi cha Sports AM kinachorushwa na Azam Sports 1,
anahojiwa Rais wa TFF Karia kuhusiana na kuchelewa kufunguliwa mageti ya
uwanja wa Benjamin Mkapa, ambapo watu ni wengi sana na wapo nje kiasi
amani inaanza kuvurugika.

Rais anajibu kwamba yeye hausiki na suala hilo na lipo chini ya maafisa wa
CAF na afisa wa TFF anayeshirikiana nao watu wa CAF, kwa hiyo yeye hajui chochote
walichokubaliana wala walichopanga.

Majibu haya kwa mtu anayesimamia chombo cha mpira si sahihi. Hata kama yeye hayupo
kwenye hiyo kamati ya usimamizi anawajibu wa kujua walichopanga, hata kushauri.

Kwamba unaona kabisa kuna hali ya mvurugiko nawe kama kiongozi wa Mpira unasema huusiki.
Kwa hiyo unasubiri mambo yaharibike kisha zigo wapewe wengine.

Tanzania imetia nia ya kuandaa michuano ya mataifa ya Afrika, sasa kama mechi ya fainali
Rais anajitoa na wala haoneshi kutaka kutatua tatizo kweli tunaweza kupewa hiyo nafasi?

Viongozi wetu hupenda kujiweka mbele kwenye mafanikio hata kama sio yao, lakini
panapotokea changamoto wajifanya kutohusika.
Amesisitiza "nafasi ya urais iheshimiwe"Karia ni tatizo Moja kubwa sana basi tu amekuta nchi ya kunyenyekea anafanya atakavyo na kimsingi Leo anaomba usiku na mchana yanga apoteze
 
Naangalia kipindi cha Sports AM kinachorushwa na Azam Sports 1,
anahojiwa Rais wa TFF Karia kuhusiana na kuchelewa kufunguliwa mageti ya
uwanja wa Benjamin Mkapa, ambapo watu ni wengi sana na wapo nje kiasi
amani inaanza kuvurugika.

Rais anajibu kwamba yeye hausiki na suala hilo na lipo chini ya maafisa wa
CAF na afisa wa TFF anayeshirikiana nao watu wa CAF, kwa hiyo yeye hajui chochote
walichokubaliana wala walichopanga.

Majibu haya kwa mtu anayesimamia chombo cha mpira si sahihi. Hata kama yeye hayupo
kwenye hiyo kamati ya usimamizi anawajibu wa kujua walichopanga, hata kushauri.

Kwamba unaona kabisa kuna hali ya mvurugiko nawe kama kiongozi wa Mpira unasema huusiki.
Kwa hiyo unasubiri mambo yaharibike kisha zigo wapewe wengine.

Tanzania imetia nia ya kuandaa michuano ya mataifa ya Afrika, sasa kama mechi ya fainali
Rais anajitoa na wala haoneshi kutaka kutatua tatizo kweli tunaweza kupewa hiyo nafasi?

Viongozi wetu hupenda kujiweka mbele kwenye mafanikio hata kama sio yao, lakini
panapotokea changamoto wajifanya kutohusika.
Umeandika hoja nzuri sana. Lakini maria siyo kiongozi wa mpira. Yule ni TISS aliyekuja kuwasambaratisha kina malinzi na wqmbura na wahuni wengine kama nyange kaburu na aveva
 
Vibanda umiza ndiyo vitatumika
ingependeza kama pale garden ya mnazi mmoja ingekuwa viewing park ,CoCo beach area, kigamboni karibu na Navy, Magufuli Bus Terminal ile underground area, vibanda umiza tunarudi kwenye old stone age
 
Amesisitiza "nafasi ya urais iheshimiwe"Karia ni tatizo Moja kubwa sana basi tu amekuta nchi ya kunyenyekea anafanya atakavyo na kimsingi Leo anaomba usiku na mchana yanga apoteze
Nimeshangaa mkuu wa Taasisi anasema hahusiki na mambo ambayo yapo kwenye Taasisi yake.Mawaziri Kila siku huwa wanatumbuliwa kwani makosa huwa wanakuwa wamefanya wao?
 
Nilichotegemea kimetokea mageti yamevunjwa na imekuwa la manyani mwenye nguvu na amepishwa, hili ni somo kubwa inatakiwa ujinga kama huu usirudiwe tena, tiketi mnaposema zimeisha inatakiwa mfungue mageti mapema watu waingie sio mambo ya kipuuzi kama aya watu wanawekwa mpaka saa 7 bila kufungua mageti, Sasa hasara hii nani anabeba?
 
Back
Top Bottom