Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Mbona majengo ya kawaida sana dar yapo hakuna cha ajabu labda mkawatishe somalia kwa majengo
 
Mbona majengo ya kawaida sana dar yapo hakuna cha ajabu labda mkawatishe somalia kwa majengo
Hatutishi kwa majengo, ila kwa kuupanga mji!! Barabara pana, zilizopangwa na kurembeshwa kwa miti! Angalia hizo barabara za mji na uangalie ilivyo barabara yenu ya BRT!!! Huelewe aliyepanga alikuwa na lengo gani! Kuna daraja kule dar, (Suspension bridge) Lakini ilivyojengwa kimtindo haina mvuto tena!
It is a good one (Kigamboni Bridge) But could look more fabulous with added aesthetics


Linganisha na Nyali Mombasa


Look below the bridge, see the finishing, Kigamboni bridge looks the aesthetic finish, symmetrical aesthetics lacks

Nyali bridge

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…