Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Mombasa yenyewe inawaacha.
31034848705_f447e6c410_b.jpg

english-point-marina11.jpg


16393135080_31c35052cb_b.jpg
Disgusting..
Huyu ametoka wapi tena?
 
After 5 years, TZ nzima tutawaachia Mombasa washindane nayo. Maanake sasa Nairobi iko ligi tofauti.
WakujiteKENYA bana. Nyie endeleeni tu kijisifu na kufurahisha nafsi zenu.
 
Mombasa kamwe haiwez compete na Dar. ...
Uyo nyau anaesema after years nai itakua mbali sijui kama anaijua mipango ya Dar. ...kuna mchikichini project iyo zitadondoshwa midude floor 50...pale Sam nujoma road ppf wanadondosha floor 35 sahiv liko u/c , tukienda kwenye satelite city CBD mpya kawe ambayo imeshaanza....kuna Victoria kuna kigamboni ***** nai mtatuzidi mbuga tu
 
Mombasa kamwe haiwez compete na Dar. ...
Uyo nyau anaesema after years nai itakua mbali sijui kama anaijua mipango ya Dar. ...kuna mchikichini project iyo zitadondoshwa midude floor 50...pale Sam nujoma road ppf wanadondosha floor 35 sahiv liko u/c , tukienda kwenye satelite city CBD mpya kawe ambayo imeshaanza....kuna Victoria kuna kigamboni ***** nai mtatuzidi mbuga tu

Believe it or Not....Take it or leave it...Dar is just a stone throw away for Mombasa.Remember this is only our second largest city......I don't want you to have scary nightmares tonight.Relax ,watch the space and sleep well
 
Believe it or Not....Take it or leave it...Dar is just a stone throw away for Mombasa.Remember this is only our second largest city......I don't want you to have scary nightmares tonight.Relax ,watch the space and sleep well
Go take your amitriptyline pills ,your suffering of depression
 
Pewa tusker baridi. Sit back and relax and watch the pace, because the guy infront of you will always be a Kenyan.
Kwikwikwi. Mimi napata Kilimanjaro au Safari sinywi pombe za kutoa harufu mbaya.

Zamani kweli mlikuwa mnatuacha kwa mbali lakini kadri ya siku zikisonga mbele gap linazidi kuwa dogo.

Wewe endelea tu kujisifu. Ghafla utatuona tupo mbele kama tai.
 
Disgusting..
Huyu ametoka wapi tena?
Unakasirika kwa ukweli,
Majumba kama haya ndiyo sahi yashamiri Mombasa, Tudor, Nyali, Vipingo, Kizingo!!! Jaribu ufanye googling utayaona. Ni mengi sana.
INMUHxM.jpg

Mombasa miaka tano itajumuisha Tanzania nzima
 
Go take your amitriptyline pills ,your suffering of depression

Tihahahaaa...see you need some space in stand up comedy....Don't worry yourself sick man.You've a looong way to go...
 
Believe it or Not....Take it or leave it...Dar is just a stone throw away for Mombasa.Remember this is only our second largest city......I don't want you to have scary nightmares tonight.Relax ,watch the space and sleep well
Mombasa ni ya kushindana na pemba. Sahau kuhusu Unguja.
 
Kwikwikwi. Mimi napata Kilimanjaro au Safari sinywi pombe za kutoa harufu mbaya.

Zamani kweli mlikuwa mnatuacha kwa mbali lakini kadri ya siku zikisonga mbele gap linazidi kuwa dogo.

Wewe endelea tu kujisifu. Ghafla utatuona tupo mbele kama tai.

As if Kilimanjaro hainuiki vibaya......Bado mko mbali sana...Mmepata ghorofa mbili tatu mkadhani mmefika...Bado.Jaribu Maputo pale south kwanza.That's your class.
 
Mombasa ni ya kushindana na pemba. Sahau kuhusu Unguja.
Hahahaha...Chunga utapata heart attack bure.You never get mad in jf.Everything is for fun...Sasa ukitoa povu na muhimbili ndo hiyo haina daktariii???
 
Tihahahaaa...see you need some space in stand up comedy....Don't worry yourself sick man.You've a looong way to go...
Poor insight. ..
Flighting of ideas
bizzare behaviour
dar sio mombasa wewe kama bado unabisha endelea....
 
Kwikwikwi. Mimi napata Kilimanjaro au Safari sinywi pombe za kutoa harufu mbaya.

Zamani kweli mlikuwa mnatuacha kwa mbali lakini kadri ya siku zikisonga mbele gap linazidi kuwa dogo.

Wewe endelea tu kujisifu. Ghafla utatuona tupo mbele kama tai.
Pewa mthokoi special take away basi.
 
Tunatoa comparable things.
Tayari London ilishaendelea zamani. Na moja ya kigezo cha kuendelea ni biashara ya utumwa.

Tunaongelea mordan city possibility ya ku expand na kuwa business center east and central Africa.

Dar ipo na posibility kubwa ya kuwa modern city than Nairobi.

1. Ipo na population density ndogo
2. Ipo na maeneo mengi yaliyo wazi
3. Ipo road receive kubwa
4. Hajawa na majengo mengi. Yaan concentrated buildings
5. Ipo located karibu na bahari
6. Watu wanaoishi dar ni wastaarabu
7. Hakuna matishio ya kigaidi
8. Ina connection na nchi nyingi land locked

Na sababu nyingine nying positive unaweza kuweka.
Umesahau moja nalo muhimu pia, 'Dar haina ujambazi wa kutisha kama Nairobi' kumbuka wale mabohora waliokuja kufanya sherehe yao hapa Dar, walichagua Dar dhidi ya Nairobi kikubwa kikiwa ni hali ya usalama. Wahindi wa watu wangeporwa mchana kweupe kama ingekua Nairobi. Pia vurugu za politics kenya kwa sasa ni order of the day
 
Poor insight. ..
Flighting of ideas
bizzare behaviour
dar sio mombasa wewe kama bado unabisha endelea....
Hahahaha....Hakuna tofauti...Acha kukaa kichaa hapa...Nenda kalale sasa..Utaumwa na kichwa buree
 
Back
Top Bottom