Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Look at how childish you have become.Just get a life annael....I think I have made my point clear enough.We are not here to compete or something.
Tunapeana taarifa tu mdogo wangu. Lakini povu nalo ni sehemu ya taarifa!!!
Nakuona ulivyofura kama swila. Hahaha!!! Tuliza munkari, kunywa maji kidogo kisha pumua na tuendelee.
 
Tunapeana taarifa tu mdogo wangu. Lakini povu nalo ni sehemu ya taarifa!!!
Nakuona ulivyofura kama swila. Hahaha!!! Tuliza munkari, kunywa maji kidogo kisha pumua na tuendelee.

Hehehe...Whatever pleases you.My point is made.Have a good day while at it.You are nothing but a troll in jf.
 
Hehehe...Whatever pleases you.My point is made.Have a good day while at it.You are nothing but a troll in jf.
Kwikwikwi naona sasa hasira zinazidi kukomaa ndani ya nafsi yako mwisho wake zita zaa mauti.
Hapa ni social media tu mdogo wangu. We just socializing kama nchi yetu ya tz ilivyo ya ki socialist.
Punguza kutumia uongo kwenye comments zako. Uongo haujifichi, maana hatima ya uongo ni aibu. Sasa kwa kuficha aibu, povu linakutoka na unakimbia nduki huku ukilalama na kulalamikia wengine.
 
Kwikwikwi naona sasa hasira zinazidi kukomaa ndani ya nafsi yako mwisho wake zita zaa mauti.
Hapa ni social media tu mdogo wangu. We just socializing kama nchi yetu ya tz ilivyo ya ki socialist.
Punguza kutumia uongo kwenye comments zako. Uongo haujifichi, maana hatima ya uongo ni aibu. Sasa kwa kuficha aibu, povu linakutoka na unakimbia nduki huku ukilalama na kulalamikia wengine.

My boy keep on.And Enjoy the troll.
 
D
Egerton university is the oldest and largest Institute of higher learning in eastern Africa by acreage. Started at 1939 and totals 7200+ acres (including faru, gongongeri and other campus pocessions.)

http://kenyalaw.org/kl/fileadmin/Co...f-the-Egerton-College-Upgrading-Committee.pdf

Just type " largest University in East Africa by acreage" Kisha u Google.
Ndugu acha uongo sawa?
Hapa dodoma university ipo na km za mraba 60
University of Dodoma - Wikipedia

Wakati chuo chenu kipo na km za mraba 3
Egerton University - Wikipedia
Chuo chenu kipo na acres 750 sawa na km za mraba 3.3
Wakati dodoma ipo na hectares 6000 sawa na km za mraba 60.

Hivi huoni aibu?
 
Duuh.. udom hovyoo, graduates wa pale hoi, ninawafanyiaga interviews wakiomba ajira ninawahurumia sana...ni ze ze ze tu hadi mwisho, udsm bora wao..
 
Mnachoweza hapo dar, mnawaumiza bavicha sana
1479548918962.jpg
 
Back
Top Bottom