Dar es salaam ina kumbi nzuri za gharama rahisi, kwa nini chadema wanakodi Mlimani City wenye gharama ya mamia ya mamilioni?

Dar es salaam ina kumbi nzuri za gharama rahisi, kwa nini chadema wanakodi Mlimani City wenye gharama ya mamia ya mamilioni?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Leo ni siku ya wanawake duniani, chadema wamefanyia katika ukumbi uliojaa fahari kuu na anasa-Mlimani City.

Kuna Msimbazi Centre ya mwanachadema Padri Kitima na nyingine nyingi, kwa nini chama changu kikodi ukumbi kwa zaidi ya milioni mia moja (100, 000,000/) wakati juzi tu wamelia hawana hela, wakachangiwa milioni mia moja na kidogo?

Kwa nini wanapenda ufahari wa mfalme suleiman wakati bado wanajitafuta? Upande wa pili wamefanyia kwenye Uwanja wa wazi, kila mtu anaingia, kwa nini wao wawe closed door? Hawakuiona Mwembeyanga? Jangwani? T. P sinza?
 
Leo ni siku ya wanawake duniani, chadema wamefanyia katika ukumbi uliojaa fahari kuu na anasa-Mlimani City.

Kuna Msimbazi Centre ya mwanachadema Padri Kitima na nyingine nyingi, kwa nini chama changu kikodi ukumbi kwa zaidi ya milioni mia moja (100, 000,000/) wakati juzi tu wamelia hawana hela, wakachangiwa milioni mia moja na kidogo?

Kwa nini wanapenda ufahari wa mfalme suleiman wakati bado wanajitafuta?
Ogopa sana vitu vya bei rahisi🤦🏾‍♂️ siku ya mkutano unaambiwa kuna maagizo ..
 
Ingekuwa vema ukazianisha hizo kumbi zenye bei nafuu na pia ziwe zenye uwezo wa kuchukua watu wengi zaidi ya hapo mlimani city!
 
Mtoa mada asa anasa si uamuzi mkuu tutafute ela 📌 ila sidhani Kuna ukumbi kuzidi mliman wa kubeba watu wengi
 
Ingekuwa vema ukazianisha hizo kumbi zenye bei nafuu na pia ziwe zenye uwezo wa kuchukua watu wengi zaidi ya hapo mlimani city!
Usipende kutafuniwa kila kitu, utatafuniwa hata mke,hizo taarifa unasubiri nikutafutie?
 
Upo sahihi sasa kwa namna hii naamini hii nchi haina upinzani wa kweli ndo tatizo watu kama hawa ukiwapa nchi yatakua yaleyale ya ccm kununua v 8 za gharama kuliko bajet wizar ya afya
 
Leo ni siku ya wanawake duniani, chadema wamefanyia katika ukumbi uliojaa fahari kuu na anasa-Mlimani City.

Kuna Msimbazi Centre ya mwanachadema Padri Kitima na nyingine nyingi, kwa nini chama changu kikodi ukumbi kwa zaidi ya milioni mia moja (100, 000,000/) wakati juzi tu wamelia hawana hela, wakachangiwa milioni mia moja na kidogo?

Kwa nini wanapenda ufahari wa mfalme suleiman wakati bado wanajitafuta? Upande wa pili wamefanyia kwenye Uwanja wa wazi, kila mtu anaingia, kwa nini wao wawe closed door? Hawakuiona Mwembeyanga? Jangwani? T. P sinza?
Huenda wanapewa bure/kwa discount kama sehemu ya promo ya ukumbi.
 
Back
Top Bottom