Sir_Finus
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 330
- 139
Mwenye taarifa zozote za kinachoendelea pale DIT mpaka sasa atujuze maana hamna join instr. Wala majina yaliyotolewa wala habari yoyote kwenye site ya chuo... Also mwenye uzoefu wa hapo, hostel rum wanakaa wangap? Kupanga maeneo mazur ni wap? Na sh ngap?