THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Kabisa mkuu,UG nao watazidi kuwadhoofisha, juzi juzi tu wamenunua ndege mpya,route ya NBO -EBB-NBO nayo pia iko mashakani!!!!.Pigo jingine.Kwa hesabu za haraka haraka ATCL ina nafasi kubwa sana ya kukamata soko la Afrika mashariki na kati pamoja na kusini mwa Afrika.KQ knows better how significant is Dar market to em, yabidi mtushukuru sana. Siku tukianza joberg-Dar- Nairobi KQ will be in death bed,
Kusini mean Afrika wapi? Ikiingia Kwa Ramaphosa inakamatwa na mkulima ππππKabisa mkuu,UG nao watazidi kuwadhoofisha, juzi juzi tu wamenunua ndege mpya,route ya NBO -EBB-NBO nayo pia iko mashakani!!!!.Pigo jingine.Kwa hesabu za haraka haraka ATCL ina nafasi kubwa sana ya kukamata soko la Afrika mashariki na kati pamoja na kusini mwa Afrika.
Bahati nzuri jiwe hajaribiwi pia ni mtu wa visasi saana bad enough kenyatta now ni pro jiweNa kamwe hamtapata hio leseni ya kuja Nairobi. Tutawazungusha hadi mkae chini.
Ripoti ya IATA ambayo nimeweka hata link inaongelea kufusu nchi kwa nchi not NBO & DAR , wewe ndo ulingezea yako na kutaja NBO & DarIla wewe ni mtu wa ajabu sana. Ndege ndogo za watalii between NBO & DAR? Report ya IATA ilikuwa inaangalia CITY PAIRS not routes za mbugani. The only aircraft that flies DAR-NBO za KQ ni Embraer E-190.
PILI, your statistics are outdated. Hii ni report ya IATA ya 2019 wewe unaleta stats za 2016/17.
TATU, Kungekuwa hakuna wateja basi management ya KQ wote ni wajinga kuweka ndege nyingi on that route (5x daily)
Hata mimi the first time niliskia mtu akisema hivyo nilimpinga, jamaa flani hua ni aircraft engineer anafanyia kazi kampuni inaitwa blue bird aviation (or smoething like that) ndo aliniambia hivyo.... baadaae nikaenda nika google nikaona kumbe ni ukweliA whopping 120,000 aircrafts,,,sijai jua iyo,mimi husema ni JKIA inaongoza Kwa aeroplane movements
Ngoja tukulipe chapo ili ueshimike kibera yoteItabidi nianze kulipisha watu kwa dose ya siku
HopelessATCL bado inaenda Mumbai??? [emoji23][emoji23][emoji23]
Lete data za 2019 acha kutuletea data za 2017.Punguza Ushamba, IATA ilipima Bussiest according to aircraft movements (Landing and takeoffs) not according to Passenger numbers... Route number one itakua ni Tanzania kwasababu ya ndege ndogo ndogo propeller planes ambazo hupeleka na kuregesha watalii kati ya mbuga za wanyama za Tz na Ke
Kutoka kwa hio IATA report.... Busiest interms of Direct flights arrivals (not passengers), most of these flights are tourist flights on small prop planes.
View attachment 1215001
Source
But in terms of Passenger numbers, these are the top 12 routes for KQ
Kama bado hujaelewa, wacha nikuelimisshe Zaidi. The bussiest airport in East and Central Africa is Wilson Airport Nairobi!!! Did you know that???? Wilson has more than 120,000 aircraft movement compared to JKIA 92,000, and incase you were wondering JNIA is 75,000 aircrafts movement while Kilimanjaro is 19,000
So with wilson being the busiest airport, Its mostly just small light aircrafts, hautawai kuona kina KQ,Emirates,Ethiopian hapa
Hata mimi the first time niliskia mtu akisema hivyo nilimpinga, jamaa flani hua ni aircraft engineer anafanyia kazi kampuni inaitwa blue bird aviation (or smoething like that) ndo aliniambia hivyo.... baadaae nikaenda nika google nikaona kumbe ni ukweli
Utaanza kulipisha kufundisha watu broken English "smoething" hii ni English ya Kajiado! Bure kabisa..Itabidi nianze kulipisha watu kwa dose ya siku
Imekuwa hopeless??? ππππHopeless
Bure ni nyanyakoUtaanza kulipisha kufundisha watu broken English "smoething" hii ni English ya Kajiado! Bure kabisa..
Lete wewe ukanushe nilichoandikaLete data za 2019 acha kutuletea data za 2017.
Chapo kibera ni shiligi tano! labda unilipe biriani ya kuku ndo ning'arie watu!Ngoja tukulipe chapo ili ueshimike kibera yote
Kabisa mkuu,UG nao watazidi kuwadhoofisha, juzi juzi tu wamenunua ndege mpya,route ya NBO -EBB-NBO nayo pia iko mashakani!!!!.Pigo jingine.Kwa hesabu za haraka haraka ATCL ina nafasi kubwa sana ya kukamata soko la Afrika mashariki na kati pamoja na kusini mwa Afrika.