Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
USINYWE BIA KUNYWA MAJI YASIYO YA BARIDI YA KUTOSHA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakufa chap!Mkuu tengeneza kishimo kisha tia barafu humo ukipata heat tuu unajitumbukiza chap na kutoka unaendelea na mishe
Kweli kabisa tutakubadilisha jina mda sio mrefu.Utakufa chap!
Usiongeze maji kwenye rejeta ukiwa umezima injini ya gari linalochemsha.
Na pombe inakausha maji mwilini hii ni tahadhari kwa wale wajuaaji wa nipe bia bardiiii nipige chap nipoze kiu.Kweli kabisa tutakubadilisha jina mda sio mrefu.
Kuna jamaa yetu tulimpoteza hivihivi ilikuwa ni kipindi cha baridi kali kweli huku maeneo ya nyanda za juu kusini mwana alitoka tizi uwanjani baada ya tizi alikuwa akirudi nyumban akikimbia ili mwili usipoe alivyofika home breki ya kwanza bafuni ndo kufungulia maji ya baridi kilisikika kishindo tu puu kuja kucheki kuna nini mtu yuko sakafuni ndo ikawa nitokee hivyo
Hizi za ni fujo unakaribisha nyokaNa pombe inakausha maji mwilini hii ni tahadhari kwa wale wajuaaji wa nipe bia bardiiii nipige chap nipoze kiu.
Mimi nawashauri mpande miti kwa fujo kama ninavyofanya mimi kwangu hapa pichani.View attachment 2859355
Hongera sana kume pendeza sanaNa pombe inakausha maji mwilini hii ni tahadhari kwa wale wajuaaji wa nipe bia bardiiii nipige chap nipoze kiu.
Mimi nawashauri mpande miti kwa fujo kama ninavyofanya mimi kwangu hapa pichani.View attachment 2859355
Usiku mkuu unabugia ma kabondayoksaidi! Wala siyo jambo la kufurahia hilo! Panda mbali kidogo na nyumba!Na pombe inakausha maji mwilini hii ni tahadhari kwa wale wajuaaji wa nipe bia bardiiii nipige chap nipoze kiu.
Mimi nawashauri mpande miti kwa fujo kama ninavyofanya mimi kwangu hapa pichani.View attachment 2859355
Huu ni upumbavu japokuwa unaona umefanya jambo la maana.Na pombe inakausha maji mwilini hii ni tahadhari kwa wale wajuaaji wa nipe bia bardiiii nipige chap nipoze kiu.
Mimi nawashauri mpande miti kwa fujo kama ninavyofanya mimi kwangu hapa pichani.View attachment 2859355
Fafanua mkuuHuu ni upumbavu japokuwa unaona umefanya jambo la maana.
Sasa sisi tusiomaliza kiu kwa kunywa maji yasiyo ya baridi tutafanyaje? Maana mimi bila kunywa maji ya baridi kiu haiishi naweza kupasuka tumbo!View attachment 2859259
USINYWE BIA KUNYWA MAJI YASIYO YA BARIDI YA KUTOSHA.
Mwamba anajisifia ujinga!Huu ni upumbavu japokuwa unaona umefanya jambo la maana.
MAISHA YAKO NI JUKUMU LAKO.Sasa sisi tusiomaliza kiu kwa kunywa maji yasiyo ya baridi tutafanyaje? Maana mimi bila kunywa maji ya baridi kiu haiishi naweza kupasuka tumbo!
Dunia bila vichaa haiwezekani japo kichaa huyu anazo akili anajua kuwa kuna mambo ya maana.Huu ni upumbavu japokuwa unaona umefanya jambo la maana.
Tutake radhi😄bado kidogo mnalipuka
Nyoka ni kiumbe rafiki na anafaida kubwa kwenye maisha yetu kuliko baadhi ya watu tuishio nao.Hizi za ni fujo unakaribisha nyoka
Safi sanaNa pombe inakausha maji mwilini hii ni tahadhari kwa wale wajuaaji wa nipe bia bardiiii nipige chap nipoze kiu.
Mimi nawashauri mpande miti kwa fujo kama ninavyofanya mimi kwangu hapa pichani.View attachment 2859355