Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakati Mikoa kadhaa ikiripotiwa kuwa na mlipuko wa Kipindupindu na Magonjwa ya Tumbo ikiwemo Mwanza, Shinyanga na Simiyu, upande wa Mitaa mbalimbali ya Jijini Dar es Salaam ina changamoto ya kukosekana mfumo mzuri wa utunzaji na uzoaji kutoka kwenye makazi ya Watu na sehemu za biashara.
Baadhi ya mitaa iliyopo karibu na Barabara Kuu, makazi ya watu na sehemu za biashara kuna taka zimekusanywa kwa siku kadhaa bila kuchukuliwa na Mamlaka zinazokusanya kwa ajili ya kwenda kuzipeleka kwenye Dampo hali inayohatarisha afya.
Mwenge Kituo cha Daladala
Mwenge Madukani
Tabata Dambo Kituo cha Daladala
Morocco Kinondoni (chini ya Daraja)
Baadhi ya mitaa iliyopo karibu na Barabara Kuu, makazi ya watu na sehemu za biashara kuna taka zimekusanywa kwa siku kadhaa bila kuchukuliwa na Mamlaka zinazokusanya kwa ajili ya kwenda kuzipeleka kwenye Dampo hali inayohatarisha afya.
Mwenge Kituo cha Daladala
Mwenge Madukani
Tabata Dambo Kituo cha Daladala
Morocco Kinondoni (chini ya Daraja)