Kila Halmashauri ijitahidi iwe na dampo lake..PUGU ni mbali,hivyo huongeza gharama za uendeshaji kwa Wakandarasi
Lakini pia Elimu ya kutenganisha taka nyumbani itolewe ili taka mali zibaki kwa matumizi mengine
Bado Private haijashirikishwa vya kutosha,pia Serikali iweke MAZINGIRA mazuri ya uwekezaji,kama MIKOPO na UDHAMINi kwa wakandara wadogo
Yote kwa yote TAKA ni MALI