Dar Es Salaam, Ni Rahaa kweli kweli

Dar Es Salaam, Ni Rahaa kweli kweli

jamanai thanx Maxshimba kweli DSM ni raha hiyo picha ya kwanza imeniacha hoi


FirstLady1, hivi huo mti wa umeme ukianguka si vifo kadhaa hapo vitatokea!?

Thanks for your comment.
 
FirstLady1, hivi huo mti wa umeme ukianguka si vifo kadhaa hapo vitatokea!?

Thanks for your comment.

hivi mgambo wa jiji si wanazunguka sana tu bongo?
kwa nini wasiripoti hali ya miti ya umeme kama hiyo?
au kazi zao ni kupora biashara za wenzangu na mimi?
na watu wa TANESCO je wako wapi?
bongo tutafika kweli kwa hali hii?
kweli bongo tambarare...
 
hivi mgambo wa jiji si wanazunguka sana tu bongo?
kwa nini wasiripoti hali ya miti ya umeme kama hiyo?
au kazi zao ni kupora biashara za wenzangu na mimi?
na watu wa tanesco je wako wapi?
bongo tutafika kweli kwa hali hii?
kweli bongo tambarare...

home kwetu tambarare sana

hii ni very dangerous .. Hata watu wa tanesco hawajaiona hiyo ..
 
firstlady1, hivi huo mti wa umeme ukianguka si vifo kadhaa hapo vitatokea!?

thanks for your comment.

ni hatari sana lakini watu wenyewe ndo hao wanapita bila hofu na sidhani kama report ilifikishwa kwa wahusika tanesko
 
mh.jpg
 
Traffic polisi akiandika ripoti ya ajali hiyo.

 


Baadhi ya vituo vya mafuta jijini Dar es Salaam
 
Ni kama shule isiyo na kiranja wala mwalimum wa darasa
 
Back
Top Bottom