annabrenda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 1,142
- 399
-ndio maana ni ngumu sana kiswahili kukubalika ulimwenguni kutokana na origin yake, na maendeleo kwa lugha ya kiswahili ni ngumu sana . Kiingereza ndo mpango mzima. kiarabu bakini nacho nyinyi manaokitumia kusomea quran.Uislaam ni "global", Qur'an imeandikwa kiarabu, lugha kubwa kuliko zote uzijuazo.
Jee, unajuwa kuwa hata Kiswahili unachotumia asilimia kubwa ya maneno yake yametokana na Kiarabu? jiulize kwa nini?
Tatizo lako kuu ni kuwa unaangalia kila kitu katika mtazamo wa kidini; The name Dar es Salaam has nothing to do with your religious beliefs or the Koran, ni lugha tu ya Kiarabu ikiwa na maana ya mahali salama na tulivu kwa vyombo vya majini; na Obama yuko sahihi kabisa kuita Dar es Salaam harbor of peace. Kwa lugha anayozungumza Obama, Harbor, haven, port indicate a shelter for ships, period.
Mwaka 1866 Sultani Majid bin Said wa Zanzibar alianza kujenga mji mpya nje kidogo ya mji wa Mzizima (mji wa Afya Njema) na kuamua kuuita Dar es Salaam kwa lugha ya Kiarabu (Bandari ya Salama kwa Kiswahili)...Kiarabu ni lugha tu kama lugha yoyote ile; labda uniambie kwamba haiwezekani kuutofautisha Uislaam na Uarabu.
- A harbor may be natural, artificially constructed or improved.
- A haven is usually a natural harbor that can be utilized by ships as a place of safety.
- A port is a harbor viewed especially in its commercial relations.
Soma vizuri post namba moja.
-ndio maana ni ngumu sana kiswahili kukubalika ulimwenguni kutokana na origin yake, na maendeleo kwa lugha ya kiswahili ni ngumu sana . Kiingereza ndo mpango mzima. kiarabu bakini nacho nyinyi manaokitumia kusomea quran.
Wakti namsikiliza Mheshimiwa mgeni wetu adhyim, Rais wa Muungano wa Mataifa ya Kimerekani (USA), Barack Hussein Obama, nilimsikia alipoitaja Dar Es Salaam, aliitafsiri kuwa ni "Habour of Peace" (labda iwe ung'eng'e ulinipiga chenga). Mheshimiwa kama ulitafsiriwa hivyo, wamekosea watafsiri wako, kama ni wewe mwenyewe, kwani naelewa kuwa unakijuwa Kiswahili kwa kiasi fulani, basi umekosea.
Maana halisi ya Dar Es Salaam, ni ngumu sana kuitafsiri ikiwa huupendi Uislaam na umeaminishwa na wabaguzi wa ujinga, kwani Dar Es Salaam inapatikana ndani ya Qur'an ikimaanisha ni moja kati ya pepo au kwa maulamaa wengine, moja kati ya milango ya kuingilia peponi "Baab Dar as Salaam", kwa maana moja au nyingine inamaanisha "haven of Peace" au "Nyumba" ya amani au kwa maana halisi "Pepo" ya amani.
Aliyekufunda kuwa Dar Es Salaam ni "Habour of Peace" hakukutendea haki wewe wala hakututendea haki sisi wa Dar Es Salaam.
Kwa kusherehesha; Dar Es Salaam si jina geni kwa miji ya duniani na haikuanzia hapa kwetu, kuna nchi nyingi ambazo zina majina ya majiji au miji iitwayo hivyo kwa lafdhi tofauti, maarufu ni Jerusalem, ina maanisha hivyo-hivyo. Nyingine ni Darussalaam, iliyopo Brunei, Ni hiyo hiyo, kama yetu tu.
Mnhhh mnhhh!
Karibu mgeni wetu.
Jee, unajuwa kuwa ukoo wa Nyerere una "matatizo ya kiafya/kiakili" ya ukoo? Kama hujui muulize Andrew Nyerere.
Jee, "udini" ndio nini?
Huelewi unachokiandika kuwa ubaguzi wa ujinga.
Nna uhakika hujui maana ya dini. Ukitaka kupata darsa kuhusu maana ya "dini" uliza.
Toka post yako ya kwanza tu ulipoanza kutiririka nimegundua kwamba issue ya Dar ea salaam ni swaga tu za kuingilia ukumbini ila lengo lako kuu ni hapo penye red.
Kiingereza kinapanda kuliko baba'ko, kama unabisha anza!
Unashindwa kujibu kwasababu umegundua hukufahamu kwamba hizo sentensi mbili hazina tofauti,ama tafsiri yako hii ni ya kuraani?
-ndio maana ni ngumu sana kiswahili kukubalika ulimwenguni kutokana na origin yake, na maendeleo kwa lugha ya kiswahili ni ngumu sana . Kiingereza ndo mpango mzima. kiarabu bakini nacho nyinyi manaokitumia kusomea quran.
Hapa NYERERE kaingiaje????? ndo maana wewe tunasema ni MDINI,Inaonekaa umemuigiza Nyerere kwa sababu ya DINI YAKE
Kiingereza kinapanda kuliko baba'ko, kama unabisha anza!
Kwani wakati wa Nyerere watanzania walikuwa wangapi na sasa hivi watz ni wangapi? Unafanya comparison gani?? Wale walisoma bure, wa sasa wanakopeshwa tena kwa mbinde ukiwa mwalimu poa, ukiwa Economist imekula kwako.....
Hiyo ni kweli anavyosema Zomba,kuna matatizo katika familia ya Nyerere ya watu kwenda in and out of mental hospitals. Lakini sidhani kama tatizo ni genetic,sidhani kama ni matatizo ya DNA. Sijui tatizo ni nini. Na kama hivi nimekuja Butiama kumpumzika siku chache, anything can happen kule Msasani.
Ulinzi pale Msasani wangekuwa more serious,wangeweka CCTV,photoelectric cells and such state of the art equipment.