Moise Aimar
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 216
- 406
picha niliogopa kutekwaWeka picha. Habari gani bila picha.?
Kwani wana kazi gani nyingine!Wakuu, Leo katika pitapita zangu maeneo ya Morroco nimekutana na gari za polisi za kutosha wakiwa wamevalia special kupambana na waandamanaji samba samba na hilo pia gari za maji ya kuwasha zlikua znapita pita maeneo hayo
Hata mimi nimewaona maeneo ya Tabata Matumbi kielekea Daraja la BuguruniWakuu, Leo katika pitapita zangu maeneo ya Morroco nimekutana na gari za polisi za kutosha wakiwa wamevalia special kupambana na waandamanaji samba samba na hilo pia gari za maji ya kuwasha zlikua znapita pita maeneo hayo
fuhWanavulana wa Dar leo hamtakula chips na urojo vibarazani 😂
Unakuta gharama za kudhibiti maandamano ni mabilioni ya helaHii ni kweli kuna mwanangu yupo dodoma kikazi kaniambia amekosa chupuchupu kwenda dar kula per diem za kuzuia maandamano.
Wastage of public fundsWakuu, Leo katika pitapita zangu maeneo ya Morroco nimekutana na gari za polisi za kutosha wakiwa wamevalia special kupambana na waandamanaji samba samba na hilo pia gari za maji ya kuwasha zlikua znapita pita maeneo hayo
Mm nashangaa mbona maandamano ya juzi hapa waliruhusu na hakuna kibaya kilitokea kwa nini haya ya sasa hawataki?Hizi kazi za upolisi zinaukichaa fulani.sasa unazuia maandamano ya amani ya kupinga watu kuuwawa Ina maana unataka watu waendelee kuuwawa?kazi ya polisi ni kulinda raia na Mali zao na siyo kuzuia wapigania haki