Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Utekwe una ninipicha niliogopa kutekwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utekwe una ninipicha niliogopa kutekwa
nikupe shule kidogo:kwenye ugaidi wa kidola kama huu unaweza kutekwa hata kimakosa ushakula sana mateso wanagundundua sio wewe walikua wanamtafuta!Utekwe una nini
Wanapambana nao kwani kuna mashindano? Hayo maandamano ni ya Amani, labda wanalinda waandamanaji..Wakuu, Leo katika pitapita zangu maeneo ya Morroco nimekutana na gari za polisi za kutosha wakiwa wamevalia special kupambana na waandamanaji samba samba na hilo pia gari za maji ya kuwasha zlikua znapita pita maeneo hayo
Mimi naandamana huku kiembe mbuzi .....nakaa jirani na nyumba ya balozi. Kwa hiyo nitaandamana kwenda kwa balozi wa mtaa anakaa nyumba ya tatu kutoka kwangu navuka nyumba moja tu nampelekea malalamiko haiwezekani tudakwe kama kuku bandaniKwani lazima iwe Dar? Sisi tutaandamana huku kizi zege halilali
Ndio mazungumzo anayosema Samia anafanya na vyama vya upinzani.Wakuu, Leo katika pitapita zangu maeneo ya Morroco nimekutana na gari za polisi za kutosha wakiwa wamevalia special kupambana na waandamanaji samba samba na hilo pia gari za maji ya kuwasha zlikua znapita pita maeneo hayo
Asubuhi nimekutana nao mataa ya Changombe-wamejazana kwenye gari tano maana nilizihesabu wakielekea maeneo ya uwanja wa taifa, mchana nimepishana nao wakiwa kundi soko la Karume wakitembea kwa miguu wakielekea Kariakoo.Hata mimi nimewaona maeneo ya Tabata Matumbi kielekea Daraja la Buguruni
nchi yetu kwa sasa ina askari wachache sana.ndio maana wanaogopa kusiwe na maandamano.kwasababu watalazimika kuomba askari kutoka mikoa mingine. huko wanakoomba askari usalama wa huko utakuwaje. na hawa wanaoitisha maandamano wanalijua hili wanawachokoza makusudi.kwa kifupi wanaisumbua serikali sana. lakini pamoja na kuisumbua serikali .serikali haipaswi kuwaumiza ni haki yao.Hii ni kweli kuna mwanangu yupo dodoma kikazi kaniambia amekosa chupuchupu kwenda dar kula per diem za kuzuia maandamano.
Wanatumia nguvu kubwaa kwenye mambo madogoUnakuta gharama za kudhibiti maandamano ni mabilioni ya hela
Bajeti ya magari, mafuta, posho, vifaa, unakuta bajeti ni zaidi ya bilioni 7 🤣