asanteelimu2016
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 235
- 127
1. Barabara mchana magari usiku huwa soko.
2. Stendi mchana usiku huwa hotel i
3. Mhindi wa kuchoma hutiwa limau na pilipili.
4. Aliyesitiri mwili kwa mavazi huitwa mshamba mwenye maungo
nje huitwa wa Kileo.
5. Matusi ni sehemu ya utamaduni. 6. Sahani ya wali hupatikana
kwa hata sh. 500.
7. Wanaume nao husuka nywele na kutia hina.
8. Mzee huitwa kitafunio kijana ni chai ya tangawizi.
9. Hashishi ni zao la mji kukojoa hadharani ni ujanja.
10. Salamu makelele heshima pesa yako.
11. Watu wote wako busy ukiwajuza kuwa unatoka mikoani
hukukaribisha kwa mbwembwe ukifika watakuambia niko busy
nitakutafuta. Kisha kupotezea... ukiwajibu ulikuwa Dar utasikia
ahhh kwa nini hukuningona tule hata.
12. Miguu ya kuku na utumbo huisha Kabla ya kuku mzima kuuzwa
mezani.
13. Dalali ananguvu kuliko mwenyemali.
14. --yapo mengi. Malizia nawewe....!!!!
Yapo mengi.
2. Stendi mchana usiku huwa hotel i
3. Mhindi wa kuchoma hutiwa limau na pilipili.
4. Aliyesitiri mwili kwa mavazi huitwa mshamba mwenye maungo
nje huitwa wa Kileo.
5. Matusi ni sehemu ya utamaduni. 6. Sahani ya wali hupatikana
kwa hata sh. 500.
7. Wanaume nao husuka nywele na kutia hina.
8. Mzee huitwa kitafunio kijana ni chai ya tangawizi.
9. Hashishi ni zao la mji kukojoa hadharani ni ujanja.
10. Salamu makelele heshima pesa yako.
11. Watu wote wako busy ukiwajuza kuwa unatoka mikoani
hukukaribisha kwa mbwembwe ukifika watakuambia niko busy
nitakutafuta. Kisha kupotezea... ukiwajibu ulikuwa Dar utasikia
ahhh kwa nini hukuningona tule hata.
12. Miguu ya kuku na utumbo huisha Kabla ya kuku mzima kuuzwa
mezani.
13. Dalali ananguvu kuliko mwenyemali.
14. --yapo mengi. Malizia nawewe....!!!!
Yapo mengi.