Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

Janga la taifa la Kenya....UKABILA.
Sidhani ushai fika Nairobi wewe, sheng and english is the most spoken languages na vijana wengi hio ukabila hawajui. Siasa ndo huficha watu macho, other sectors hakunanga huo upuzi unaita janga la ukabila.
 
it's no doubt that you will not dare show me that nairobi where many poor kenyans (including you)leave in.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hahaha hii Nairobi pekee
 
Upande wa barabara Dar bado wako chini.
 
Nairobi imenyanyaswa sana na Dar kwenye drones Dar is the fastest growing up in the world
 
Na kingine kigezo cha Dar kuwa na ocean beaches hii ni bonus points kuwa Nairobi haitakaa ije kuipita Dar lakini ni rahisi sana Dar kuipita Nairobi. The city with an ocean is always dope no matter what ocean beaches along the city are like ice cream cheese on top of the cake you can't compare its spectacular ocean views with a land locked city as Nairobi.
 
Na kingine kigezo cha Dar kuwa na ocean beaches hii ni bonus points kuwa Nairobi haitakaa ije kuipita Dar lakini ni rahisi sana Dar kuipita Nairobi. The city with an ocean is always dope no matter what ocean beaches along the city are like ice cream cheese on top of the cake you can't compare its spectacular ocean views with a land locked city as Nairobi.
 
Hahaha hii Nairobi pekee
hawa jamaa Jana nimewapeleka mputa mputa mpaka mishale ya saa tisa usiku....nahisi mda huu ndio watakuwa wamelala maana sikuwapa nafasi ya kusema neno.

ilikuwa ni mwendo wa mapicha ya matope bandika bandua.

nataka nikinukishe tena mida ya lunch.nawachezesha mziki ninao chagua Mimi.

nairobi jiji la matope.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tehehehee.... Janga la T


Dar ni kama tu Kabul hamna haja ya kujiliwasa hap. The worlds Cholera Capital city cannot get anywhere near even to Maputo
Dogo umekuja?
 
Naomba umshughulikie. Ila mwoga kweli ukimpuliza anakimbia kweli na kuwaambia wenzake wasichangie.
issue ya picha za matope zimewapa hasira wakenya....nime expose vitu ambavyo mkenya yoyote hapendi mgeni avijue kuhusu nairobi.bado nina mzigo mkubwa wa picha za matope sijaziweka hapa,nitakuwa naweka moja moja mpaka waombe msamaha.
 
issue ya picha za matope zimewapa hasira wakenya....nime expose vitu ambavyo mkenya yoyote hapendi mgeni avijue kuhusu nairobi.bado nina mzigo mkubwa wa picha za matope sijaziweka hapa,nitakuwa naweka moja moja mpaka waombe msamaha.
Sasa hivi nimeanzakuwaona wameanza kuwa wapole kweli. Hawana chochote zaidi ya ile barabara tu. Nimeingia kwenye mtsndao wao wa Kenya Talk na kutupia mapicha ya TZ wamebaki wakitoa mimacho tu. Sasa hivi nawafuata huko huko mpaka watuheshimu.
 
Sasa hivi nimeanzakuwaona wameanza kuwa wapole kweli. Hawana chochote zaidi ya ile barabara tu. Nimeingia kwenye mtsndao wao wa Kenya Talk na kutupia mapicha ya TZ wamebaki wakitoa mimacho tu. Sasa hivi nawafuata huko huko mpaka watuheshimu.
Shida ya www.nipate.com
Kule thread ya mwaka jana ina views 100!!!
Yaani ukiacha wachangiaji views hakuna!!
Halafu mada karibu zoote ni Jaluo mara kikuyu
Uhuruto yaani ujinga ujinga hahaha

Picha ulitupia thread gani ndugu kule?
 
Sasa hivi nimeanzakuwaona wameanza kuwa wapole kweli. Hawana chochote zaidi ya ile barabara tu. Nimeingia kwenye mtsndao wao wa Kenya Talk na kutupia mapicha ya TZ wamebaki wakitoa mimacho tu. Sasa hivi nawafuata huko huko mpaka watuheshimu.

Hakuna siku tutawaheshimu watu wa govi. com. Forget about that
 
issue ya picha za matope zimewapa hasira wakenya....nime expose vitu ambavyo mkenya yoyote hapendi mgeni avijue kuhusu nairobi.bado nina mzigo mkubwa wa picha za matope sijaziweka hapa,nitakuwa naweka moja moja mpaka waombe msamaha.

Tihahahhaaaaa.....Typical gossip and rumor mill from a Danganyikan....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…