Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

Sasa hivi nimeanzakuwaona wameanza kuwa wapole kweli. Hawana chochote zaidi ya ile barabara tu. Nimeingia kwenye mtsndao wao wa Kenya Talk na kutupia mapicha ya TZ wamebaki wakitoa mimacho tu. Sasa hivi nawafuata huko huko mpaka watuheshimu.
Kinacho nikera Forums za kenya

Nihiki
Thread inakaa miaka 4 wachangiaji 13!!!
 
Shida ya www.nipate.com
Kule thread ya mwaka jana ina views 100!!!
Yaani ukiacha wachangiaji views hakuna!!
Halafu mada karibu zoote ni Jaluo mara kikuyu
Uhuruto yaani ujinga ujinga hahaha

Picha ulitupia thread gani ndugu kule?
Nilitupia kwenye Politics & News. Check
Visit Tanzania one day

na

Dar es salaam drone view

Yaani wanakodoa tu.
 
Hakuna siku tutawaheshimu watu wa govi. com. Forget about that
Maneno yako yasipo heshimu, nafsi yako itaheshimu. Unaufahamu wimbo wa Chid Benz. Kwamba wanakubali kiaina.
Usikilize huu hapa:
 
Nilitupia kwenye Politics & News. Check
Visit Tanzania one day

na

Dar es salaam drone view

Yaani wanakodoa tu.

Kwii kwi kwi.... I have known you Danganyikans love Praise even when there is nothing to Praise.... Then CCM bootlickers like you wamefukuzwa kule jukwaa la siasa and you want to soul sooth....
 
Nani alikimbia... Wewe uliona mwanzo vile Dar inamalizwa na Cholera.

nimekunyorosha jana ukakimbia....akaja mkora mwingine anaitwa wanjala,naye nikamyorosha videdly... mpaka sasa hajaamka.amelala na maumivu ya kunyoroshwa.
Nairobi jiji la matope[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
after winning the battle against kenyans on matope,now I'm shifting this war on dirty/ garbage matters in nairobi.

i will be posting photos that have been captioned by Kenyans themselves....Depay & Co here i come... let's get it started.

Nairobi jiji chafu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Nairobi jiji chafu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
wanaomba poo.....eti wananitumia PM nisitishe mpambano.hahahaha
 
kuku za tao (Nairobi town) sikulangi tena,juu zinakuwa prepared kwa toilet.
Nairobi jiji chafu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Guys can you stop premature agreement and keep on posting drone video? We are fed up with matope and tandale shit
 
Mwanzoni mjadala ulikuwa mzuri ila umeingia utoto hata hatupati contents tena za majiji haya
 
Hao hawajaipata Nairobi vizuri, yaani hauwezi ukadharilisha Nairobi kwa kuilinganisha na Dar, labda Mombasa ndio level ya Dar. Cheki hii video ndio upate muziki wa Nairobi
Hamna kitu! Nairobi ilikuwa zamani. Saa hii ilishapitwa kitambo sana na picha hizo ni ushahidi.
Hata picha uliyoweka ni cha MTOTO kwa Dar ya Leo. Isipokuwa Nairobi ilipangwa vizuri tokea awali kuliko Dar. Lakini kwa habari ya kuendelea na kukua kwa mji, Nairobi tayari ilishapitwa!
 
Hao hawajaipata Nairobi vizuri, yaani hauwezi ukadharilisha Nairobi kwa kuilinganisha na Dar, labda Mombasa ndio level ya Dar. Cheki hii video ndio upate muziki wa Nairobi
Kumbuka kuwa kinachovutia pekee kwa Nairobi kuliko Dar ni fly overs! Lakini wingi wa majengo marefu na mazuri Nairobi kwa sasa ni cha mtoto! Pia mradi wa fly overs Dar umeshazinduliwa, hivyo baada ya miaka miwili habari ya Dar ni nyingine kabisa!
 
ni kujidanganya kusema dar imeipiku nairobi kwa uzuri na development...... enda tu Google unamata nairobi inatokea top 5 in every list
 
Hahahaha kwahiyo sisi tukileta vitu vilivyopo Dar, Nirobi havipo utasemaje? Nyie hamna mwendokasi kama sisi.
Pia hawana daraja zuri na refu kama LA kigamboni, pia hawana majengo marefu kulinganisha na Dar!
 
ni kujidanganya kusema dar imeipiku nairobi kwa uzuri na development...... enda tu Google unamata nairobi inatokea top 5 in every list
Wewe unasubiri google. huoni drone view?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…