Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

How are they able to use drones in Kenya? they are not allowed.
Its kind of clear in the video, they just showed the city from the near outskirts, the Dar one is really the CBD.
Still Nairobi killed it.
 
Hao hawajaipata Nairobi vizuri, yaani hauwezi ukadharilisha Nairobi kwa kuilinganisha na Dar, labda Mombasa ndio level ya Dar. Cheki hii video ndio upate muziki wa Nairobi
Rudi darasani kasome kidogo. Afu hii utuletee mwakani pale tazara patakua pamekamilika
 
Fiesta Dar es salaam. Dar show love

Roma na Stamina

 
Wasafi Beach Party. Dar patamu sana.

 

Naona umemea pembe uongezee mkia......

Nimeshangaa hujafika Nairobi kwa jinsi wewe hupanga mada zako ni kama hukusomea Tanzania.

Video ya pili niliileta kwa kusudi la kuonyesha hayo ma-flyover, yaani ndio leo Dar mnahangaika na flyover ya kwanza pale TAZARA wakati sisi tumechoka nazo maana zinaenendelea kujengwa.

Leo hii tumeanza michakato ya double decker kwenye Uhuru highway, picha yake hii hapa
 
Nadhani hiyo ya Nairobi camera ilikuwa mtaa mmoja...ila wamechukulia engo tofauti
 
Hahahaha kwahiyo sisi tukileta vitu vilivyopo Dar, Nirobi havipo utasemaje? Nyie hamna mwendokasi kama sisi.
 
Nairobi si Jiji la Kulinganisha na Dar, Aibu! Nairobi ni kiwango chake! Dar bado hata Mombasa imeanza kuitoa!
 
Mngetafuta drone video ndio tuanze kuchambua zaidi maneno mengi yann
 
let Dar be Nairobi and virse versa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…