Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

Poa, kwa kweli sio rahisi kupata Watanzania 'asili' wenye kupanga mada jinsi ufanyavyo, yaani kupata Mtanzania ambaye hajachakachuliwa, hajasomea nje ya nchi halafu awe na uwezo huo.

Ni kweli nchi zetu hizi zinapiga hatua, na ifahamike kadiri Tanzania inapaa, ndivyo na Kenya inatoweka. Wakiamka leo waasisi wetu kutoka makaburini watashangaa na kuomba bora wazidi kuendelea kufa huko waliko.
Kenya ya leo sio ya hapo awali, tumefaulu kuthubutu, hata uwekezaji wetu nje ya nchi hususan ndani ya Tanzania umeongezeka maradufu.

Tanzania hata kama mnaendelea, lakini binafsi huwa nahisi bado mpo too slow, kila nikija Bongo na kuona fursa za uwekezaji zilizopo huwa nabaki kuwashangaa mbona mpo mpo tu na hamzichangamkii. Hiyo Mwanza unayotaja leo, nimesema mara nyingi kwamba ina uwezo wa kuwa mji mkubwa zaidi ya miji yote Afrika maana imebahatika kupachikwa katikati ya mataifa ya Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi kiasi kwamba mkiamka toka kwenye usingizi, mnaweza kufanya huo mji kuwa kitovu cha hizo nchi zote. Lakini leo hii naona mnakurupuka mara uwanja wa kimataifa Chato mara huku mara kule, hamjakaa na kuandika mikakati ya nchi.
Huu ni uharo wa bata sasa, wewe unajiwela kundi gani kwa comment hii.
 
Hahaha Annael unaipenda sana Tanzania lakini sijui nisemeje yaani Ila it's your option!!
 
Poa, kwa kweli sio rahisi kupata Watanzania 'asili' wenye kupanga mada jinsi ufanyavyo, yaani kupata Mtanzania ambaye hajachakachuliwa, hajasomea nje ya nchi halafu awe na uwezo huo.

Ni kweli nchi zetu hizi zinapiga hatua, na ifahamike kadiri Tanzania inapaa, ndivyo na Kenya inatoweka. Wakiamka leo waasisi wetu kutoka makaburini watashangaa na kuomba bora wazidi kuendelea kufa huko waliko.
Kenya ya leo sio ya hapo awali, tumefaulu kuthubutu, hata uwekezaji wetu nje ya nchi hususan ndani ya Tanzania umeongezeka maradufu.

Tanzania hata kama mnaendelea, lakini binafsi huwa nahisi bado mpo too slow, kila nikija Bongo na kuona fursa za uwekezaji zilizopo huwa nabaki kuwashangaa mbona mpo mpo tu na hamzichangamkii. Hiyo Mwanza unayotaja leo, nimesema mara nyingi kwamba ina uwezo wa kuwa mji mkubwa zaidi ya miji yote Afrika maana imebahatika kupachikwa katikati ya mataifa ya Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi kiasi kwamba mkiamka toka kwenye usingizi, mnaweza kufanya huo mji kuwa kitovu cha hizo nchi zote. Lakini leo hii naona mnakurupuka mara uwanja wa kimataifa Chato mara huku mara kule, hamjakaa na kuandika mikakati ya nchi.

moja ya kitu kizuri ni kuikumbatia nchi yako moyoni pamoja na mapungufu yake

Tanzania inawakilishwa na dar (mji wa pwani) huku nairobi ikiwakilishwa na nairobi (mji usio wa pwani) kwa kuwa ndipo watu wa mataifa mengine hufikia,
pwani hujulikana kwa utaratibu na bara kwa uchangamfu katika kazi na hii ni kwa kenya na tanzania je, makao makuu ya Tanzania yangekuwa bara kama arusha,kilimanjaro, iringa, mbeya huku Kenya ikiwa ni mombasa je, hii perception tungekuwa nayo ???????..........

ukisema Tanzania bado imelala kwa kuwa unaona opportunities nyingi ambazo hazipo Kenya utakuwa unakosea kwa kuwa sisi ni jamii mbili tofauti yaani, a kenyan is raised nd prepared in search of opportunities that are not around so, he must be aggressive enough to win over the others while a Tanzanian is raised to inherit whats around him and get prepared to live a humble life (with humanity and a negative perception towards being an opportunists) enough to be acceptable by the society .both ways have negativities and positivities

ni kweli viongozi wetu wamekosa vision na hii inachangiwa na katiba yetu inayoruhusu mtu anayejua kuandika na kusoma kuwa MP na huyu ndiye mtu tunamtegemea kutengeneza policy ya kujua potentuality ya mwanza ,mbeya ama kagera !!!!!!!!!!

kuongezeka kwa sector ya ujenzi ,biashara na kilimo cha kisasa inatia matumaini kwa kweli. urbanization nayo imeshika kasi na kila sehemu ya Tanzania inakua....
bado tatizo lipo katika elimu ,teknolojia, utawala na utungaji wa sera lakini naamini tutafika tu
 
Helping Hands in Nairobi


Jiji la Nairobi chini kwa chini kuona hekaheka na mishemishe za mchanganyiko wa kila aina katikati ya jiji kubwa Kenya hali ya usafiri, je wana treni za chini ya ardhi za mjini, waenda kwa miguu kukosa mpangilio salama wa matumizi sahihi ya barabara, karaha za kutokuwa na traffic lights za kutosha za barabarani, utitiri wa round abouts katikati ya mji, vioski, maghorofa chakavu yenye kuhitaji rangi/usafi/ukarabati n.k


Haya, sasa comment Na hii basi, Mombasa road, 35km of serous business, one of my favourite highways..

 
Haya, sasa comment Na hii basi, Mombasa road, 35km of serous business, one of my favourite highways..



Dar es salaam Aerial view(Sam Nujoma/ Mandela road) ni muhimu kwa uchumi wa Tanzania kama Mombasa Road na bado sijaunganisha na Morogoro Road

 
Sasa bahari ndo utofauti wenyewe... Dar inaweza kuwa na kila ambacho Nairobi inacho. Ila Nairobi haiwezi kuwa na kila ambacho Dar inacho.
Lakini bahari haipo dar peke yake. So sio kwamba ni kigezo cha maendeleo
 
Sasa bahari ndo utofauti wenyewe... Dar inaweza kuwa na kila ambacho Nairobi inacho. Ila Nairobi haiwezi kuwa na kila ambacho Dar inacho.

dar kuna bahari wakati nairobi kuna mbuga ya wanyama hivyo vyote vina upekee wake ingawa kwa tabia za waafirka wengi ,bahari ni tamu zaidi
 
i've never been to nairobi hivyo,judgement yangu ni kutokana na drones videos

1. skyline
dar skyline is more denser than nairobi yaani nairobi ina spaces nyingi sana kuliko dar hivyo,kwenye videos ni kama dar ina majengo mengi ingawa hayajapangiliwa ama kubuniwa vyema for a modern city compared to nai.

2. infrastructures
hapa nairobi imeipiga dar si kwa barabara ama city parks, nairobi imekua juu kwa hili na ndio maana ulitaka kulidhihirisha hili kwa kutupia video ya pili ingawa haijalionesha jiji vizuri kama ile iliyotangulia.

3.Growth
hapa ukiangalia katika videos utaona dar kuna majengo mengi ambayo hayajaisha na mengine yakijengwa ukilinganisha na Nai hivyo, nai ifunge mkanda ikaze na kamba ama ifate nyayo ichane msamba, ifunge mkanda ipasue anga, dar tunasemaga chambua kama karanga ( sorry nina darassa muziki fever)
Darasaaaaaaaaaaaa!!!!!
 
Haya, sasa comment Na hii basi, Mombasa road, 35km of serous business, one of my favourite highways..



lets not have short memories bro! lets keep away from threads started by these bongolalas whose aim is seeking orgasm kick!!!
 

Wanjala r u trying to compare this..
IMG_20170103_205049_280.JPG
IMG_20170103_204255_203.JPG
IMG_20170103_204233_920.JPG


To this??
IMG_20170103_205009_657.JPG
IMG_20170103_205031_174.JPG
IMG_20170103_204952_216.JPG
IMG_20160416_103616_853.JPG
 
Back
Top Bottom