Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

Sorry i don't talk to homosexuals
yesterday while you were enjoying my "fimbo" when i kicked you from behind,you never said such words.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
f20725fcb8c5e8c89bdd949e43e605bd.jpg
kadoda11 kwanza za mwaka mpya
Hii hatari!!!!
 
Poa, kwa kweli sio rahisi kupata Watanzania 'asili' wenye kupanga mada jinsi ufanyavyo, yaani kupata Mtanzania ambaye hajachakachuliwa, hajasomea nje ya nchi halafu awe na uwezo huo.

Ni kweli nchi zetu hizi zinapiga hatua, na ifahamike kadiri Tanzania inapaa, ndivyo na Kenya inatoweka. Wakiamka leo waasisi wetu kutoka makaburini watashangaa na kuomba bora wazidi kuendelea kufa huko waliko.
Kenya ya leo sio ya hapo awali, tumefaulu kuthubutu, hata uwekezaji wetu nje ya nchi hususan ndani ya Tanzania umeongezeka maradufu.

Tanzania hata kama mnaendelea, lakini binafsi huwa nahisi bado mpo too slow, kila nikija Bongo na kuona fursa za uwekezaji zilizopo huwa nabaki kuwashangaa mbona mpo mpo tu na hamzichangamkii. Hiyo Mwanza unayotaja leo, nimesema mara nyingi kwamba ina uwezo wa kuwa mji mkubwa zaidi ya miji yote Afrika maana imebahatika kupachikwa katikati ya mataifa ya Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi kiasi kwamba mkiamka toka kwenye usingizi, mnaweza kufanya huo mji kuwa kitovu cha hizo nchi zote. Lakini leo hii naona mnakurupuka mara uwanja wa kimataifa Chato mara huku mara kule, hamjakaa na kuandika mikakati ya nchi.

Well said MK, bado tuko usingizini, ni ukweli mchungu lakini bora kuliko sugarcoated lie[emoji108]
 
kadoda11 kwanza za mwaka mpya
Hii hatari!!!!
niko poa mkuu....kheri ya mwaka mpya na kwako pia....

najaribu kuwaonyesha hawa madogo wa kikenya waliojiunga juzi ktk hivi forum kwamba mimi ni mmoja wa magwiji wa kufanya mijadala ya kihuni linapofika suala la Tz vs kenya.

anyaway nisalimie gwiji askari kanzu popote utakapo muona.
 
niko poa mkuu....kheri ya mwaka mpya na kwako pia....

najaribu kuwaonyesha hawa madogo wa kikenya waliojiunga juzi ktk hivi forum kwamba mimi ni mmoja wa magwiji wa kufanya mijadala ya kihuni linapofika suala la Tz vs kenya.

anyaway nisalimie gwiji askari kanzu popote utakapo muona.
Da! Kuna huyu @bulldog na Askari Kanzu hawa watu sijui nini kimewakuta
 
Da! Kuna huyu @bulldog na Askari Kanzu hawa watu sijui nini kimewakuta
nadhani wapo ila wameamua tu kupumzika kama Mimi nilivopumzika 2015-2016....ipo siku watarejea....hivi brother geza na kimweri wapo?....

hao watu ni hatari sana....kimweri wakenya hawana hamu naye,wanamuogopa kama wanavyo ogopa kikundi cha alshabab.
post yake moja ni kama bomu la atomic..itajibiwa na wakenya wote wa jf.
zile nyakati sidhani kama zitajirudia tena.
 
52% ya eneo la mraba ni Tanzania na 48% ndiyo wanagawana Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi hivyo wenzetu wanaendeleza sehemu moja sie tunatandaza kama mkeka Mtwara mpaka Mwanza
 
Drone view never dissappoint, ila to be honest Dar is catching up very fast, Nairobi ikizubaa inapitwa! Hiyp drone view ya Dar ni shida.

Dar bado ,ni kama mtoto mchanga ananza kutambaa. Nairobi ni baba yao .kwanza project kibao zinashugulikiwa joo
Nairobi ilikuwa inaipita Dar miaka ya tisini lakini sio sasa. Sasa hivi Nairobi inashindana na Mwanza au Arusha.
 
i've never been to nairobi hivyo,judgement yangu ni kutokana na drones videos

1. skyline
dar skyline is more denser than nairobi yaani nairobi ina spaces nyingi sana kuliko dar hivyo,kwenye videos ni kama dar ina majengo mengi ingawa hayajapangiliwa ama kubuniwa vyema for a modern city compared to nai.

2. infrastructures
hapa nairobi imeipiga dar si kwa barabara ama city parks, nairobi imekua juu kwa hili na ndio maana ulitaka kulidhihirisha hili kwa kutupia video ya pili ingawa haijalionesha jiji vizuri kama ile iliyotangulia.

3.Growth
hapa ukiangalia katika videos utaona dar kuna majengo mengi ambayo hayajaisha na mengine yakijengwa ukilinganisha na Nai hivyo, nai ifunge mkanda ikaze na kamba ama ifate nyayo ichane msamba, ifunge mkanda ipasue anga, dar tunasemaga chambua kama karanga ( sorry nina darassa muziki fever)
Mkuu umenena,ukiangalia mandhari ya bahari,mazingira Dar inatisha. Na skylines Dar ni nyingi kuliko Nairobi na bado inaonyesha Nairobi kuna majengo mengi mafupi mengi huku yale marefu ni ya kuhesabu.Ukiangalia maeneo ya makazi yalionesha ni ya kisasa pia yanavutia.

Kwa clip hivi Nairobi ina kazi sana mpaka kurejesha hadhi yake
 
Kwi kwi Kwi! imepata Skyscrapers tatu ikadhani imefika ligi hata ya Maputo. Jiji linakaa Kabul...
Ahahah ukiangalia hicho kijiji chenu cha Nairobi skyscraper ziko mbili na zaidi old school fashioned hata hiyo mpya muundo wake ni kama majengo ya miaka sabini.
Mna kazi sana kuifikia Dar. Majengo/skyscraper nyingi za Nairobi zinafanana urefu na zile za Kariakoo
 
Ahahaaaa hakiumi kama kipo. Tuupende kuusikia ukweli jamani.
Dar na Nairobi wapi na wapi
Kama sio Mkenya au basi utakuwa uko kijijini huelewi lolote unalima. Dar ndio top kwa hii Afrika Mashariki. Nairobi ilitisha miaka ya tisini kurudi nyuma kabla ya Dar ku raise miaka ya 2000.
 
Mkuu hoja zako ni zenye mashiko na unazungumza reality na ss watanzania ukweli utatuweka huru wakenya wanatuzidi kwenye karibia sector zote huwezi kucompare elimu ya tz na kenya,leo mtz akija kununua bidhaa mfano dawa atasema naomba ya kenya au ya india cha kwetu hatukithamini.
By the way nairobi bado ipo mbele compare na dsm japo jiji la dsm linakuja kasi sanaaaa wakenya mjipange.
Endelea kukaa kijijini kwako mkuu usije ku comment pumba. Kila taifa lina watu wenye tabia zake
 
Ahahah ukiangalia hicho kijiji chenu cha Nairobi skyscraper ziko mbili na zaidi old school fashioned hata hiyo mpya muundo wake ni kama majengo ya miaka sabini.
Mna kazi sana kuifikia Dar. Majengo/skyscraper nyingi za Nairobi zinafanana urefu na zile za Kariakoo

Sasa si afadhal sasa kabul chenu hicho.... Hata Dadaab refugee camp afadhali imepangika. Ona, na hawa watu wanajiita wako Jijini Dar es salaam ama kijiji cha ujamaa Dar es salaam

Dadaab si afadhali hapa hii
4a8aa04e6.jpg
 
MK254 kiukweli the only advantage ya Nairobi over Dar ni hizo flyover zenu fullstop ndio maana hata hiyo video uliyoweka hapo ni barabara na flyovers tu.
Good thing Dar imeanza kujengwa flyovers.
Just wait when the three-level traffic interchange ya ubungo ikikamilika sijui mtajificha wapi.....
Plus FYI BRT phase II na III construction is starting this year, the second suspension bridge (Selander bridge ishaanza kujengwa), TAZARA flyover, JNIA new terminal commissioning.........yaani in short Dar is now East Africa's megacity!
 
Back
Top Bottom