Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,074
Mpe mpe mpeeee!Wewe ni mkenya!!
2.5m ya wakazi wa Nairobi wanaishi kibera.
Nairobi ina wakazi wasiozidi 3.4 m,
3.4-2.5= 0.9..
Kwaiyo sehemu nzuri ya Nairobi hukaliwa na wakazi 900000, na humo bado sijatoa slums nyingine za Nairobi..
Kenya ina wenyewe..
Hapo bado hatujataja mathare