Dar es Salaam: Wakazi Kijijini Mbezi Beach B waigomea Serikali kuhusu kuhama eneo hilo

Hilo sio eneo la makazi ni hifadhi ya barabara, waliambiwa wahame siku nyingi lakini wakawa wanakingiwa kifua na viongozi wa kata na mtaa akiwemo teja mmoja aliyekuwa anadai wasiguswe ni wapiga kura wake.

Na hata sasa hili zoezi litafail tu kwa sababu gwajima atatafutia mtaji wa kura na kwa sababu anao ushawishi mtasikia kimya na maisha yakisonga kama kawa!
 
Ukitaka kumuua mbwa anza kwa kumpa jina baya.

Walianza kutungiwa makala mbaya mbaya.

Tujiulize kabla ya makala za kuwaportray kwamba ni watu waovu, je kuna matukio mangapi yameorodheshwa kufanyika hapo?

Hilo eneo lishapigwa bei kwa mwekezaji hivyo wanahamishwa ili kupisha deal la wakubwa.

Serikali kama inataka kuwahamisha, sheeia na taratibu za kuhamisha wakazi zimetumika? Au ndo Kamati ya Ulinzi na Usalama ipo juu ya sheria?

Tangu wameanza kukaa hapo na kupelekewa huduma zote, serikali ilikuwa haina habari?


Viongozi waache uhuni. Wafuate taratibu na sheria. Wagawane hizo hela na hao wakazi ama wawatafutie mahala pa kwenda.
 
watu wapo miaka 30 leo unasema waondoke kisa uhalifu kwamba huko watakapo kwenda wataacha tabia ya uhalifu

alafu kuna vyombo vyenye majukumu ya kukomesha uhalifu kwamba vimeshindwa kazi hadi chaguo iwe kuwaondoa kama ni hivyo vyombo vya usalama vifutwe sasa vina kazi gani

ama kama eneo hilo mnalitaka kijanja walipeni fidia wakajue wanafia wap sio kuwaondoa kinyemela
 
Wamakonde ndiyo walivamia hapo
Na kujenga mavibanda..
Alafu hilo eneo siyo mbali na juliana pub,sehemu hiyo imezungukwa na mashuwa ila hapo ndiyo changanyikeni

Ova
Kama ni wamakonde amini hawaami hapo. Mmakonde ukimpa kulinda nyumba yako unayojenga amini hutoaminia atakaa yeye hadi na wajukuu atapata hapo hapo. Utaishia kusema tu ile nyumba yangu ila kamwe huwezi ishi hiyo nyumba.
 
Kuna huduma gani za kijamii wamepelekwwa hapo? Maana naona kwa upande wa umeme wanatumia solar.
 
Kama ni wamakonde amini hawaami hapo. Mmakonde ukimpa kulinda nyumba yako unayojenga amini hutoaminia atakaa yeye hadi na wajukuu atapata hapo hapo. Utaishia kusema tu ile nyumba yangu ila kamwe huwezi ishi hiyo nyumba.
Hata kwa mikocheni kwa nyerere sehemu kama hizo zilikuwepo wamakonde walikuwa wanakaa kwenye maeneo dar ambayo ni potential, hapo mbezi beach wanawatoa kwa style tu

Ova
 
Serikali huwa inakuwa wapi hawa watu wakiweka makazi yao haya maeneo ??
 
Hao wapatiwe eneo jingine waondoke hapo kama watakaidi baada ya kupewa eneo hilo bakora zitembee mana kwa maelezo haya kuna ujinga mkubwa ndani ya hawa watu
 
Meakuja amekamilika
 
Aiseeh Sasa naanza kuelewa kwanini dada angu alini zimia sim nilipo fika dar
 
😂
 
Hadi sasa sijazielewa hizo sababu za kuhamishwa kuwa na mashiko...

Tuhuma zote zilizotajwa ni za jinai, na taratibi za kushughulikia tuhuma za jinai kwa mujibu wa katiba na PGO za kipoliso zinajulikana...

Watu wenye tuhuma na ushahidi usio na shaka wafikishwe kwa pilato...

Kama hayo maeneo yanapaswa kuemdelezwa, wamiliki wa sasa walipwe fidia au watafutiwe maeneo mengine wapewe makazi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…