Dar es Salaam: Wakazi Kijijini Mbezi Beach B waigomea Serikali kuhusu kuhama eneo hilo

Namu9na mama J yupo anaskiliza maekezo [emoji16][emoji16][emoji16] hapo hatoki mtu kandolo alishindwa makonda [emoji16]
 
Hawa ni wavamizi kwenye maeneo ya wazi na pembezoni mwa barabara!! Sasa hiyo fidia utawalipa kwa kigezo gani? Haya sio maeneo yao bali wamevamia kwa kushirikiana na wajumbe corrupt wa serikali za mtaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…