Kiongozi hoja yako ni ya msingi. Linalotakiwa, si kuogopa kuwapa wananchi madaraka, lakini ni kuratibu kwa utaalamu na umakini ili kuona hakuna mianya ya migawanyiko inatokea hapo mbele. Tunaweza kujifunza kwa kenya na Nigeria. Kwa vyoyote vile, lazima katiba ya nchi ndiyo isimamie masuala yote ya majimbo. Siyo kugatua in whole sale. Nigeria walifanya makosa yao wakagatua hadi central laws wakati kenya tangu ianze kuwepo imekuwa na matabaka ya ukabila ambayo hawajawahi kuyavunja.
Kwa mantiki hii uzuri na malengo mema ya decentralization yatapoteza maana ikiwa hoja itabebwa na wadandiaji wenyehila kama ccm walivyofanya kwenye katiba. Inahitaji neutral mind na utashi wa kitaifa kuratibu mfumo sahihi utakaotoa mwanya wa maendeleo na kuziba milango yote ya mipasuko ndani ya nchi.
Happy sunday.
Kwa mantiki hii uzuri na malengo mema ya decentralization yatapoteza maana ikiwa hoja itabebwa na wadandiaji wenyehila kama ccm walivyofanya kwenye katiba. Inahitaji neutral mind na utashi wa kitaifa kuratibu mfumo sahihi utakaotoa mwanya wa maendeleo na kuziba milango yote ya mipasuko ndani ya nchi.
Happy sunday.
Boko haram huku Nigeria imeletwa na sera ya majimbo au hata hili limekushinda.Kenya unaonaje ukabila.Nakwambia siku CDM ikikamata dola na kulazimisha sera ya majimbo utasikia Mtwara inataka kujitenga kwasababu ina gesi,kabla haujakaa vizuri kanda ya ziwa watasema wanataka usemi zaidi kwakuwa wanachangia zaidi na kadhalika na kadhalika.......