Dar es salaam yashika nafasi ya tano duniani

Kiongozi hoja yako ni ya msingi. Linalotakiwa, si kuogopa kuwapa wananchi madaraka, lakini ni kuratibu kwa utaalamu na umakini ili kuona hakuna mianya ya migawanyiko inatokea hapo mbele. Tunaweza kujifunza kwa kenya na Nigeria. Kwa vyoyote vile, lazima katiba ya nchi ndiyo isimamie masuala yote ya majimbo. Siyo kugatua in whole sale. Nigeria walifanya makosa yao wakagatua hadi central laws wakati kenya tangu ianze kuwepo imekuwa na matabaka ya ukabila ambayo hawajawahi kuyavunja.

Kwa mantiki hii uzuri na malengo mema ya decentralization yatapoteza maana ikiwa hoja itabebwa na wadandiaji wenyehila kama ccm walivyofanya kwenye katiba. Inahitaji neutral mind na utashi wa kitaifa kuratibu mfumo sahihi utakaotoa mwanya wa maendeleo na kuziba milango yote ya mipasuko ndani ya nchi.

Happy sunday.


 
Hii hoja imeshatajwa sana na watu. Ni nzuri na kweli naikubali sana. Watanzania hawana sababu ya kuiogopa kwa kuwa faida zake ni nyingi sana!
Devolved system of govt may just be what Tanzania needs - Letters - www.theeastafrican.co.ke
Au hata soma hapa https://www.jamiiforums.com/politic...-in-progress-but-feel-free-to-contribute.html
 
Nilidhani riport pia itasema rais wetu ni kati ya marais watano duniani ambao ni maprofessor???????????!!!!!!!!!!
 
Hatuna cha kufanya zaudi ya kuzaana labda atapatikana atakae tuondolea umasikini wetu.
 
Hatuna cha kufanya zaudi ya kuzaana labda atapatikana atakae tuondolea umasikini wetu.

Hata hawa ndugu zetu wanaofunga ndoa za mikeka asubuh na jioni kisa mohamed alifundisha na kutenda hivyo bila kuangalia nyakati nadhani watakua wanachangia sana kuuzaana sana. Huwezi kuoa wake 4 alafu ukazingatia uzazi wa mpango. Ukiwa na wake 4 utegemee kumiliki watoto wasiopungua 10. Sasa hapo unategemea nini kama sio chanza cha uchafu mijini na umasikini!!
 

Wamevaa miwani ya mbao na wameweka pamba masikioni. Hutosikilizwa kamwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…