M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Ile kampuni pendwa ya USAFIRISHAJI nchini inapumulia Mashine baada ya Mama wa familia ambae alikua msimamizi Mkuu wa biashara kutangulia mbele ya Haki (RIP) Miaka kadhaa iliyopita.
1. Mabasi chakavu,
2. Hotel Korogwe, huduma mbovu,
3.Ofisi ya Kisutu kufungwa.
**Wazee wa Kichaga kwann hamuhudhurii vikao? Dogodogo (Wadangaji) hatari sana kwa Afya ya Biashara ya familia
1. Mabasi chakavu,
2. Hotel Korogwe, huduma mbovu,
3.Ofisi ya Kisutu kufungwa.
**Wazee wa Kichaga kwann hamuhudhurii vikao? Dogodogo (Wadangaji) hatari sana kwa Afya ya Biashara ya familia