Dar Express zimebaki Stori/Zilipendwa

Dar Express zimebaki Stori/Zilipendwa

Ujio wa YUTON. Kampuni za usafirishaji zilizokuwa zikitumia Mabasi ya Scania yalipitia changamoto. Muulizeni Aboud atawaeleza hili vizuri. Dar xpress walichelewa kuliona hili. Na ndio limewagharimu.
Anguko limetokana na kukosa msimamizi makini. Maana aliyekua anasimamia ipasavyo alikufa Mzee akaoa kabinti Ka 2000s hakana muda na biashara
 
Korogwe ama HIGWAY ni hoteli ya EXTRA LUXURY sio dar ex na ilishauzwa kitambo sana dar express kwa saaa amebaki na mabasi matano tu zhongtong 4 DWU na dragon Moja EDQ baasi.
Ile kampuni pendwa ya USAFIRISHAJI nchini inapumulia Mashine baada ya Mama wa familia ambae alikua msimamizi Mkuu wa biashara kutangulia mbele ya Haki (RIP) Miaka kadhaa iliyopita.

1. Mabasi chakavu,
2. Hotel Korogwe, huduma mbovu,
3.Ofisi ya Kisutu kufungwa.

**Wazee wa Kichaga kwann hamuhudhurii vikao? Dogodogo (Wadangaji) hatari sana kwa Afya ya Biashara ya familia
 
Biashara za usafiri zinahitaji usimamizi makini sana, ndiyo maana waarabu ni mamaster hapa TZ kwenye sekta hii. Hii biashara Inahitaji network sana, wewe ni jeshi la mtu mmoja, hutaki kufundisha watoto biashara na kwanza ushafeli kwenye malezi Yao toka mwanzo, una vimada kibao, nidhamu yako ilishapotea baada ya kujiona umetoboa. Sasa kama una yote hayo niliyotaja biashara ya transport hutoboi hapa TZ maana ukianguka ndo umeanguka, tena Sasa anguko lako unaliona linakuja lakini huna la kufanya maana huna pa kushika, watu wanakukataa hata unaowategemea wanakutema. Zipo kampuni za usafirishaji Tanzania toka miaka ya sabini Bado Hadi Leo zipo, ni kampuni tu ndo inabadilishwa majina.
 
Watu weusi sio wazuri kwenye kupokezana na kurithi shana kampuni

Mzee mremi wa dar express ameshfafikia umri wa kustaafu zamani sana.. alipaswa kumuachia mwanae aongoze biashara


Baba yake na mo dewji mzee gullam dewji bado yupo hai ila alishamuachia mo biashara zamani

Bakhressa nae hivyo hivyo
Wajasiriamali kutoka Asia wana nidhamu ya kazi/biashara zao binafsi, ndio maana wengi wanafanikiwa. Sisi waafrika wengi wetu ni wabinafsi. Wachache wanaweza kufanya hivyo
 
Back
Top Bottom